HUKU ABROAD
Senior Member
- Nov 20, 2020
- 127
- 218
Millioni ipo mfuko wa shati hakuna kuingia jamiiforum , Facebook , Instagram wala kupiga simu kwa mtu yoyote yaani simu ikae flight mode mwaka mzima utaweza weweeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka mawazo ya kitajiri au sioMawazo ya kimasikini bhana!
Nakuwekea million tano hapa saivi usile wala kunywa chochote wala kutoka chumbani kwa muda wa siku sabaMillioni ipo mfuko wa shati hakuna kuingia jamiiforum , Facebook , Instagram wala kupiga simu kwa mtu yoyote yaani simu ikae flight mode mwaka mzima utaweza weweeee
Hiyo milioni ukiigawanya kwa siku 365 za mwaka hesabu itakuja hivi
1, 000, 000÷365=2, 740/-
Yaani shilingi elfu mbili miasaba arobaini tu kwa siku ndio utakuwa unaingiza. Sasa hicho kiasi ndio kikutenge na simu yako?
mmmh Hiki ni kikwazo! tayariusile wala kunywa chochote
[emoji23][emoji23][emoji23]mmmh Hiki ni kikwazo! tayari
Wachawi bhana..😅Nakuwekea million tano hapa saivi usile wala kunywa chochote wala kutoka chumbani kwa muda wa siku saba
Siku 7 hutoboi labda kama ni manzi ila mwamba siku 6 tu lazma ukate moto!ila siku saba mtu unatoboa, unatoka hoi taabani ila na kifuta jasho.
Why not boss? Japo ofa yenyewe nimeichekecha namna hiyo nikaona ni ubatili mtupuwatu mko makini, so you considered the offer?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwakweli.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jamaa hayupo serious na mawazo yake kama ya watoto wa msingi
Wamekufanya nini tena[emoji3]Wachawi bhana..[emoji28]
we ungewezaKuna chali hapa anasema miaka miwili apewe million 2 zake tu.
Lunatic![]()
![]()
![]()
great thinkerWhy not boss? Japo ofa yenyewe nimeichekecha namna hiyo nikaona ni ubatili mtupu
Niko hapa, nawezaKuna chali hapa anasema miaka miwili apewe million 2 zake tu.
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]