Nami nilitaka kumwambia juu ya miaka. Tena anunue kuanzia gari za 2010. Kama nakumbuka sahihi hizi European cars zilipitia mabadiliko makubwa katika emissions na performance kutokana na matakwa ya kimiongozo ya Umoja wa Ulaya. Hivyo gari ziliboreshwa zaidi ili kukidhi miongozo hiyo.Pamoja ila usiombe ushauri kwa watu wa Toyota hawanaga clue.....zungumza na wamiliki.
Pia usinunue magari ya miaka ya zamani sijui 2002 3 4 huko...
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Yah...mimi BINAFSI naprefer kuanzia 2013 kama akiweza Europeam cars zilifanyiwa 'facelift' mwaka huo.Nami nilitaka kumwambia juu ya miaka. Tena anunue kuanzia gari za 2010. Kama nakumbuka sahihi hizi European cars zilipitia mabadiliko makubwa katika emissions na performance kutokana na matakwa ya kimiongozo ya Umoja wa Ulaya. Hivyo gari ziliboreshwa zaidi ili kukidhi miongozo hiyo.
Kwamba ni za udongo zikinyeshewa zinamong'onyoka?Huko unaenda kuootea ndugu yangu, hiyo audi ikikutana na masika ika savaivu basi jua unabahati sanaš¤£
Acha aipitishe kwenye madimbwi halafu dashboard ikiwaka aipotezee kidogo kama alivyozoea kwenye Toyota.Kwamba ni za udongo zikinyeshewa zinamong'onyoka?