Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
- #21
Doooh aisee, na gari haikupinduka?Nlibinya pumbu mapema ili hali hii isinikute.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Doooh aisee, na gari haikupinduka?Nlibinya pumbu mapema ili hali hii isinikute.
Okay...Hiyo ni ajali, kwenye ajali hakuna jibu la moja kwa moja, zaidi inategemea mazingira ya ajali.
Kama dereva angeweza angalau kulizuia, Yaani lisimame na kutokurudi nyuma, pengine ingekuwa salama kwa abiria wote kutoka.
Daaah, changamoto sana mkuu ukizingatia daladala za hapa Tanzania ambazo 96% hazina seat belts.Tukio hili, walioruka walipona, nina mfano ambapo kulitokea ajali aliyeruka ni mmoja tu na ilitokea ndio namfahamu, na yeye pekee ndie aliyepoteza maisha kwa kiangukiwa na basi.
Lengo ni kuokoa uhai so uamuzi wowote ni sahihiShikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.
Ndugu zangu watanzania;
Upi ni uamuzi sahihi wa kufanywa na abiria pindi gari (hususan daladala) inapoanza kurudi nyuma baada ya kushindwa kupanda mlima?
View attachment 1607527
Je, ulishawahi kujikuta katika hali hii na ulifanya nini?
Nimeamua kuomba ushauri hapa kwa maana kwamba siku ya tarehe 13 October 2020, ambapo mvua kubwa sana ilinyesha sana, nilipokuwa ninatoka Kitunda huku Dar sasa ninarudi Kivule nikiwa katika bodaboda maeneo ya sehemu moja wanaitwa kwa Mwailafu nilishihudia gari ya abiria almaarufu kama daladala ikirudi "reverse" baada ya kushindwa kupamba mlima mdogo kutokana na udongo wake kuwa unatereza kwa kiingereza wanasema "treacherous"
Katika harakati za kutaka kuokoa maisha yao kuna abiria wawili ambao ni wakaka wao wakaruka nje lakini abiria wengine wote wakabaki ndani ya daladala ile huku wakipiga mayowe wasijue nini la kufanya.
Mungu si Athumani, dereva wa ile gari alikuwa jasiri na shupavu alifanikiwa kuigonesha ile gari pembezoni mwa ukingo wa barabara hivyo kuzuia gari ile isiingie katika daraja kubwa ambalo bado linaendelea na ujenzi.
NB: Picha hapo juu haina uhusiano wowote na hicho kisa nilichosimulia.
Kuna baadhi ya watu wanadai kuruka wakati daladala/gari ime-fail brake mlimani sio uamuzi sahihi ila kuna baadhi wanadai kuwa ndio jambo jema la kufanya wakati wa janga la namna ile
Upi ni uamuzi sahihi wa kufanywa na abiria? Je, ulishawahi kujikuta katika hali hii na ulifanya nini?
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Akili zako vilivyokutuma kuwa uasafiri wako mwenyew hauwez kurud nyuma!!!?Uamuzi sahihi ni kununua usafiri wako tu
Endelea kutumia mwili ufanikiwe kuwa na magari,Uvivu tu. Hivi kweli mwanaume mzima anawezaje kukosa hata milioni 9 achukue Raum
Ina maana we huna gari? Pambana mtoto wa kiume wewe..Endelea kutumia mwili ufanikiwe kuwa na magari,
Daaah aiseeIna maana we huna gari? Pambana mtoto wa kiume wewe..
Mhhh, dah ila hii comment aisee sio poa kabisaEndelea kutumia mwili ufanikiwe kuwa na magari,
Nina hasira nae za kuitetea CCM kijingaMhhh, dah ila hii comment aisee sio poa kabisa
Sawa mkuu ngoja ajeNina hasira nae za kuitetea ccm kijinga
Okay boss...Haina fomula, ni sawa na kubeti tu.
Sawa...Kuna muda anayeruka anapona, wanaobaki wanakufa. Na kuna muda pia anayeruka anakufa, wanaobaki wanapona.
Ushauri mzuri sana huu mkuuCha msingi ni kuangalia mazingira.
Daaah, noma sana mkuu.Mimi kilinikuta HV.
1. Tulikua kwenye bajaji tunaelekea huko mashambani..tulikua abiria watatu..mm nilikua nmekaa upande wa kushoto au mlangoni huku kwa abiria( kwa wanaopandaga bajaji watakua wameelewa)
Haloo, hii kiboko...2. Tukafika kwenye kimlima fulani hv..Dereva akakomaaa weee mwisho bajaji ikashindwa kupanda..ikaanza kurudi nyuma.
3. Bajaji ikawa unarudi nyuma kwa Kasi ikielekea Upande wa korongo.
Doooh, sasa baada ya kuruka ni kipi kilitokea mkuu?4. Mm nikaona isiwe tabu maana nilikua nasikia harudlfu ya kifo.
5. Nikaruka, bhana wee