Upi ni uamuzi sahihi wa kufanywa na abiria pindi gari (hususan daladala) inapoanza kurudi nyuma baada ya kushindwa kupanda mlima? Yaliwahi kukukuta?

Hiyo ni ajali, kwenye ajali hakuna jibu la moja kwa moja, zaidi inategemea mazingira ya ajali.
Kama dereva angeweza angalau kulizuia, Yaani lisimame na kutokurudi nyuma, pengine ingekuwa salama kwa abiria wote kutoka.
Okay...
 
Tukio hili, walioruka walipona, nina mfano ambapo kulitokea ajali aliyeruka ni mmoja tu na ilitokea ndio namfahamu, na yeye pekee ndie aliyepoteza maisha kwa kiangukiwa na basi.
Daaah, changamoto sana mkuu ukizingatia daladala za hapa Tanzania ambazo 96% hazina seat belts.
 
Reactions: Auz
Lengo ni kuokoa uhai so uamuzi wowote ni sahihi
 
Mimi kilinikuta HV

1. Tulikua kwenye bajaji tunaelekea huko mashambani..tulikua abiria watatu..mm nilikua nmekaa upande wa kushoto au mlangoni huku kwa abiria( kwa wanaopandaga bajaji watakua wameelewa)
2. Tukafika kwenye kimlima fulani hv..Dereva akakomaaa weee mwisho bajaji ikashindwa kupanda..ikaanza kurudi nyuma.
3. Bajaji ikawa unarudi nyuma kwa Kasi ikielekea Upande wa korongo.
4. Mm nikaona isiwe tabu maana nilikua nasikia harudlfu ya kifo.
5. Nikaruka, bhana wee
 
Haina fomula, ni sawa na kubeti tu. Kuna muda anayeruka anapona, wanaobaki wanakufa. Na kuna muda pia anayeruka anakufa, wanaobaki wanapona. Cha msingi ni kuangalia mazingira.
 
Mimi kilinikuta HV.
1. Tulikua kwenye bajaji tunaelekea huko mashambani..tulikua abiria watatu..mm nilikua nmekaa upande wa kushoto au mlangoni huku kwa abiria( kwa wanaopandaga bajaji watakua wameelewa)
Daaah, noma sana mkuu.
 
Nilikausha tu alafu ulikua mlima nyuma korongo derava kapanda na mbili ikaishiwa nguvu akabadili katikati ya mlima weehh uzuri aliekungia ktk kigema chabpembeni.
 
2. Tukafika kwenye kimlima fulani hv..Dereva akakomaaa weee mwisho bajaji ikashindwa kupanda..ikaanza kurudi nyuma.
3. Bajaji ikawa unarudi nyuma kwa Kasi ikielekea Upande wa korongo.
Haloo, hii kiboko...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…