Upi ni uamuzi sahihi wa kufanywa na abiria pindi gari (hususan daladala) inapoanza kurudi nyuma baada ya kushindwa kupanda mlima? Yaliwahi kukukuta?

Nilikausha tu alafu ulikua mlima nyuma korongo derava kapanda na mbili ikaishiwa nguvu akabadili katikati ya mlima weehh uzuri aliekungia ktk kigema chabpembeni.
Hakika Mungu alikuwa upande wenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…