Fatima binti hemedi
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 1,665
- 2,328
Unakurupuka na mapofu....uzi hata hujausomaMUHAMMAD hakuwa mtu mweusi.....PROVE ME WRONG......katika siirah ya mtume..inaonesha ya kuwa nchi zilizokuwa zinaendelea kusambaziwa somo juu ya uislamu walikua wakidai ya kuwa dini ya kiislamu ni ya waarabu tu na siyo ya ulimwengu mzima na ilishushushwa kwa MUHAMMAD MUARABU kwa ajili ya waarabu.....JE VIPI LEO HII MUHAMMAD AWE MTU MWEUSI?....acha kudanganya ummah
hearly
wajinga wajinga bado wanadhania Africa ilianza baada ya mkutano BerlinUmemaliza kila kitu.... Alafu hiyo KUSH ilikuwa si mchezo enzi hizo ilishafka kutawala mpaka mashariki ya kati na maeneo ya jirani..... Hata kuna kipindi alexander the great alitaka kuivamia ila alipokea kipigo cha mbwa mwizi kutoka kwa Mwanamama shujaa wa kiafrika Queen Candice Amanirenas ama KENDAKE kwa kiafrika zaidi but huwa inafanywa siri sana ili kumfichia aibu Alexander the great kwamba aliwahi zuiwa na mtu mweusi
Cc Fatima binti hemedi
unayapinga maneno ya muumba wako...pale aliposema.."nakutokana nao(ADAM NA HAWA) yakatoka mataifa mbali mbali.."Blacks tupo kitambo duniani hapa, wacheni ujinga, sisi ndio babu zao
Mkuu kwani is it impossible mtu mweusi kuzaa rangi tofauti kama MUNGU akiamua??unayapinga maneno ya muumba wako...pale aliposema.."nakutokana nao(ADAM NA HAWA) yakatoka mataifa mbali mbali.."
Haahahaha nimeipenda hii
Mkuu kwani is it impossible mtu mweusi kuzaa rangi tofauti
Adam na hawa walifanana na Jua yaani walijawa viini vya melanin ndio weusi
hawakuwa waarabu Ama wazungu weupeunayapinga maneno ya muumba wako...pale aliposema.."nakutokana nao(ADAM NA HAWA) yakatoka mataifa mbali mbali.."
Mkuu, haya unayosema umeyatoa wapi? Wanafeli ni watu kama watu wa kawaida tu ila wao walijaliwa kuumbwa wakiwa na miili mikubwa sana. Na waliogopwa na watu wengine kutokana na maumbile ya miili yao.Fallen angels..wakiongozwa na Azazel ndio waliingiana na binaadam wakatokea Nephills so Nephils ndo Product ya Fallen angel.
Remember baada ya hao malaika 200 kushuka duniani Mungu aliwafunga kuzimu Wakisubiri hukumu yao ila Nephills bliidline waliondolewa na Gharika kuu ya Nuhu..
Source yako inatoka ndani ya Biblia ama umesoma tu nakala za mitandaoni?Nephillism hawakuwepo before walikuja kujitokeza baada ya falling angel kuwa sex binadamu ,na hali haikundulika mapema ilikuja onekana baada ya mitoto kuwa mikubwa bila kikomo ndo wakashamga nakuanza kujiuliza what happen
kama walikua weusi wote inamaana QURAN NA SCIENCE zimepingwa kwenye suala la genetic inheritance......kutokana na kuwa kama watu wawili mwanaume na mwanamke wote wana asili ya weusi yaani wazazi wao na mababu zao wote kama walikuwa ni weusi kizazi chao hakiwezi toa watu weupe...eg.albino hawa kizazi chao kikikutana wao kwa wao watatoa albino milele....au wamasai kamwe huwezi mkuta mmasai mweupe....labda aoe mzungu au mtu mweupe....kama dunia ya awali ilikua na wtu weusi tupu WHERE ARE THOSE WHITES COMING FROM?hawakuwa waarabu Ama wazungu weupe
kuzama ni mambo ya mungu kaka, ila mbona kuna mji mikubwa na ina history ya kutisha na ika potezwa pap kama hivyo au kwa design nyingine mambo haya hayana science maelezo ila ni mambo ya mungu mkizingua binadamu mna potezwa tuh na kamji kenu, mfano kuna mjii wa babilon,pompei, na mengine ili potezwa.ila hakuna scientific reasons zaidi ya ku guess na theory nyingi..... babilon nayo mji kongwe ndo uchawi ulipo teremshwa yani ulianzia hapo.mji mingi tu ilipotea kwa maajabu.Nini kilisababisha uzame mkuu unaweza tupa mwanga kidogo na je ni kweli walikuwa na maendeleo kubwa sana ya kiteknolojia
Mkuu labda nichangie hapo shida inakuja neno lililotumika mfano wanefili ama warefai ukiingia kwenye dictionary ya kiebrania ina maanisha UZAO WA PEPO/ROHO sasa je kuna mwanadamu anaweza kuwa uzao wa Roho??Mkuu, haya unayosema umeyatoa wapi? Wanafeli ni watu kama watu wa kawaida tu ila wao walijaliwa kuumbwa wakiwa na miili mikubwa sana. Na waliogopwa na watu wengine kutokana na maumbile ya miili yao.
Ila hakuna sehemu ambapo panathibitisha kuwa Ibilisi na jeshi lake walizaa na wanadamu ndani ya Biblia. Mimi naamini wanafeli walikuwa ni wanadamu ambao waliumbwa na Mungu kabisa, hata Goliath aliumbwa na Mungu.
Mkuu swali ulilouliza ni illogical kabisa sorry to say that sababu kama ukihoji weupe walitoka wapi kama wote tukiwa weusi je naye si atakuuliza kama wwe unadhani dunia nzima tulikuwa weupe je sisi weusi tumetoka wapi?? More debatekama walikua weusi wote inamaana QURAN NA SCIENCE zimepingwa kwenye suala la genetic inheritance......kutokana na kuwa kama watu wawili mwanaume na mwanamke wote wana asili ya weusi yaani wazazi wao na mababu zao wote kama walikuwa ni weusi kizazi chao hakiwezi toa watu weupe...eg.albino hawa kizazi chao kikikutana wao kwa wao watatoa albino milele....au wamasai kamwe huwezi mkuta mmasai mweupe....labda aoe mzungu au mtu mweupe....kama dunia ya awali ilikua na wtu weusi tupu WHERE ARE THOSE WHITES COMING FROM?
Bible inasema mkuu ingawa kuna contradiction kuwa wana wa Mungu wanaotajwa Genesis 6 ni malaika au wanadamu ingawa biblia ya kiebrania inajibu kuwa ni VIUMBE WA MBINGUNI sio kibinadam yaani Bnei-ElohimSource yako inatoka ndani ya Biblia ama umesoma tu nakala za mitandaoni?