Sio ugoro, wewe umeshindwa kumuelewa. Hilo ni jibu la maelezo yake (yanayotegemea imani yake) kumpinga mwenzake pia aliyeegemea ktk imani yake tofauti, hilo swali ni saizi yao. Kwamba sote hatuna ushaidi wa mojakwamoja na badala yake tunaegemea kile tu tulichoaminishwa kimapokeo, sasa inshu ni imani gani ilikukuta kwanza au ilifika kwanza ktk jamii yenu, over.maswali mengi sijui niyaite ya kitoto au vipi..we kitu imefundishwa katika dini alafu unaanza kuuliza ugoro apa...huyo Yesu nani alimuona??.lakini watu wanaamini alichokileta dunian...soo jaribu kuuliza swali la maana ndugu
Inategemeana na imani ipi umeegemea? Kila mtu atakuwa sahihi ktk imani yake tu, na kimsingi hapa ndiko kwenye source ya kuhitalafiana kwa jamii hizi mbili. Je Mungu aliumba binadamu na malaika tu, malaika waasi wakaitwa majini ama Mungu aliumba binadamu, majini na malaika yakiwa kama maroboti tu?tatizo umefichwa mengi kuhusu dunia na mbingu na vitu vilivyozijaza..kama hutaki kujifunza endelea kudhani watu wamejichetua akili..elimu ipo nyingi tuu.soma kwanza uelewe dini yako vizur kama wewe ni mkristo.alafu tafuta shehe akufundishe kuhusu uislamu..dini zote zinaamini kupitia IBRAHIM BABA WA IMANI.hivyo chukulia hapo kama mwanzo wako wa kujifunza...utanikumbuka kama kweli ukifanya nlivtokuelekeza...tafuta kujifunza .usitafute kukashifu dini za wenzio .hata ukikuta wanaabudu ngombe na wewe hutaki kumuabudu basi usiwatukanie ngombe wao .jiulize ni kwa nini hawa watu wanaabudu ngombe??...na maswali mengine kama hayo.soo jitume sana mkuu.elimu iko bure bure mitaani.nafkiri ata hapo nje kwako kuna mwalimu aweza kukuelimisha zaid...
malaika waliwatokea manabii wa zamani.mfano Suleiman alikua anakutana na malaika wakifo mara kwa mara.na mfalme Suleimani alijifunza mengi kupitia malaika yule..
mwingine ni Mtume wa mwisho MUHAMMAD..yeye alikuwa anatembelewa na malaika Jibril /Gabriel enzi za uhai wake.hivyon ni wazi siri kama hizi nilazma mitume hawa wangezijua...Malaika hawali chakula..hivyo hawaendi chooni pia..chukua hayo nlokuambia kayafanyie kazi utapata mengi zaid.hapa kuandika siwezi.koz ni kurasa na kurasa za kutosha
kuna majini,malaika na binadamu.hivyo bas.watoto wa majini ni wale half cast .mtu na jini wanazaa.na siyo kila mtu ni mtoto wa kutokana na majiniKwa hivyo mkuu unataka kusema sisi ni kizazi cha majini
kv ndugu.mbna naona kama unajua kitu halaf husemi...funguka blaza.sema ujuayo ww kuhusu hao ma nephilism.Kwanini usiwe ni wewe ndiye uliyedanganyika?
Asee mkuu hebu tuambie walau wewe umeona huko wanaishijeBara LA Atlantis lilikuwepo but lilizama!!
Coz ya mambo ya kiroho
Binafsi nikiwahi kukitembelea but in spiritual!! Aseee kuna mambo meng ya kujifunza also kuhusu haya ma technology yanayotokea hapa dunian!
Wamekopi na kupest kule Atlantis!!
Ulizeni maswali nitawajibu
NB:NITASEMA NILIYOYAONA,(Spiritual travel)
Duh wewe kweli mchawi mkuu.... Embu tupe data uliwezaje kufika huko kiroho na experience yako huko ni ipiBara LA Atlantis lilikuwepo but lilizama!!
Coz ya mambo ya kiroho
Binafsi nikiwahi kukitembelea but in spiritual!! Aseee kuna mambo meng ya kujifunza also kuhusu haya ma technology yanayotokea hapa dunian!
Wamekopi na kupest kule Atlantis!!
Ulizeni maswali nitawajibu
NB:NITASEMA NILIYOYAONA,(Spiritual travel)
Duh.... Hii story naipata wapi kwa kirefu?Ukisha anza kuzungumzia hii mambo ya Atlantis kwanza lazima tukubaliane tunaelezana kiconspiracy conspiracy na hapo tegemea majibu mengi kutokana na uelewa wetu kitofauti tofauti.
Nikijuacho...
Chanzo cha Atlantis ni viumbe ambao sio wa asili ya dunia hii(Aliens) wajulikanao kama serpent masters.Ambao walikuja duniani wakaanza kuishi chini ya ardhi.Baada ya mda wakaenda kuishi kwenye bara la atlantis. wakaumba binadamu ili wamfanye mtumwa huyu anajulikana kama son of serpent.Lakini wakasahau kitu kimoja wakampa yule binadamu uwezo sawa na wao.Hivyo huyu binadamu aliwakimbia akaenda kuishi bara la Lemuria ambalo pia lilikuja kuzama.
Baada ya son of serpent kuwakimbia Serpent masters, wakaamua kutengeneza binadamu asiye na uwezo kama wao wakamuweka kwenye bustani ya Edeni.Lakini bado son of serpent walimfata huko Atlantis wakamdanganya wakaondoka nae.Hapo ndo ikaibuka vita ya kwanza ya nuclear kati ya serpent masters na son of serpent.
kama ukijituma ukasoma vitabu mbali mbali utaweza kuujua ukwel ulipo.wala siyo ngumu kuupata ukweli kama biblia ushaisoma vizuri alaf usome uislam.nakuahid wala hutojisumbua kuusoma uzayuni...utakua ushaupata ukweli...Inategemeana na imani ipi umeegemea? Kila mtu atakuwa sahihi ktk imani yake tu, na kimsingi hapa ndiko kwenye source ya kuhitalafiana kwa jamii hizi mbili. Je Mungu aliumba binadamu na malaika tu, malaika waasi wakaitwa majini ama Mungu aliumba binadamu, majini na malaika yakiwa kama maroboti tu?
Imani ya wengine Inaonesha malaika ni wanaume au wanaweza kujigeuza ktk umbo la chochote na likafanya lenye kustahiki na hilo umbo, Mfano kwa Lutu, walikula na watu wabaya walitaka kuwafanyia uzandiki, walikuwa wanaume.
elewa ndugu yangu...nlichoandika nikuwa malaika JIBRIL/GABRIEL alikua akimtembelea/kumtokea Mtume mara nyingi tuu.Eti alikuwa anatembea na malaika Mtume si alioa katoto ka 8 years kumbe gavriel naye anapenda fantacies
Umejuaje yote haya?Legend za wagiriki, ambazo ziligushiwa na wayahudi na kutengeneza ngano ya gharika, aidha wayahudi hawahawa tena wakaghushi simulizi ya mji wa kirumi uliounguzwa na volcano wa Pompeii na kutuletea ngano nyingine ya jehanamu ya moto, wayahudi ni waongo mno, jamii zingine na ustaarabu wametenganisha ngano na uhalisia, myahudi anatuburuza na ngano zake eti ni kweli, of course nguvu Yake anapata kwa wajinga wengi wanao mwamini, angalia ukiristo umekufa ulaya, wazungu wengi sasa ni wahindu na wa Buddhist
Mwanzo 20-25 hakuna hiki unachosema kipo....elewa ndugu yangu...nlichoandika nikuwa malaika JIBRIL/GABRIEL alikua akimtembelea/kumtokea Mtume mara nyingi tuu.
swala la MTUME kuoa msichana akiwa bado mdogo lipo hadi katika biblia..hivi unajua Isaka/ISAAC alimuoa Rebecca akiwa na miaka mingapi mkewe Rebbekka???
soma Genesia;25-20...Isaac alimuoa Rebbekka akiwa na miaka 3 tuu...kumbuka biblia imeandika hicho kitu.lakini suala la mtume kuoa kuoa binti mdogo hazipo katika Quran Tukufu.hakujaandikwa kitu kama iko hakikurekodiwa katika kumbukumbu kwahiyo ni wazi uislamu hauhimizi watu kuoa watoto ni makubaliano ya watu wenyewe kulingana na tamaduni zao au wakati wao/enzi
inategemea ni biblia gani unatumia pia mkuu...kuna tafsiri za biblia kibao..na huwa zinatofautiana maneno..mfano ipo KJV..-King james version...na RSV-revised scripture version...nk...zipo mingi tuu hizi tafsir thats why zinatofautiana...soo kutoliona hilo andiko ktk app au biblia yako inategemea umetumia biblia ipi...soma zile za zaman mkuuMwanzo 20-25 hakuna hiki unachosema kipo....
alichokisema jamaa apo ni kweli..wazungu washashtuka ndio maana makanisa mengi huko ulaya yamekosa watu ndiomaana wameanza kuyafanya misikiti na kumbi za starehe.wengi wa wazungu washaona kanisa ni mitaji na utapeli wa watu kadhaa...nsamehe kwa kusema hivyo lkn ndio kitu kinachowatoa katika ukristo kila uchao...Umejuaje yote haya?
Sorry nilikuwa busy na mambo ya kaziAsee mkuu hebu tuambie walau wewe umeona huko wanaishije
Kiongozi nitasema!Duh wewe kweli mchawi mkuu.... Embu tupe data uliwezaje kufika huko kiroho na experience yako huko ni ipi
Funguka!!