Upi ni ukweli kuhusu THE PHILADELPHIA EXPERIMENT

Ilikuwa somehow inaelezea hii kitu. Ikapigwa ban usa isiendelee...
But ilikuwa na some truth kuhusu mipango ya hawa jamaa in the future hasa pale ending km vile sayari nyingine imeisogelea dunia....pale ingeendelea ingedadavua zaidi...ikapigwa ban.
Duh kumbe hii dunia kuna mengi sana tumefichwa hadi wanafikia kupiga ban?? Hatari sana
 
Hizi hesabu mbona sizielewi inakuwaje Uende Kwenye Jua na Kurudi ukute watu wamekufa uliowaacha.. ?
Sio wewe tu, hapa nafuatilia tangu mwanzo ila kichwa kigumu, japo kuna Teacher kipindi nipo Chuo alitupigia coz ya Particle Physics, lakini haya mambo hakuyagusa, sijui kwa nini. Kipindi hicho ilikuwa inaitwa PH364-UDSM. Aliishia kuelezea tu kuhusu particle na antiparticle, na QUARKS.
 
Mkuu zitto junior ,nimesoma uzi kwa kiwango kikubwa na labda tu nikueleze kuwa bahati mbaya sijawahi fuatilia hili suala mkuu...

Nitakuwa mwanafunzi mkuu ili nijisomee na mimi nipate ujuzi zaidi wa jambo hili...

Nimeona kuna ndugu amezungumzia pia ishu ya CERN.Ameelezea vyema kwa maana ya kile ambacho wakuu wa LHC wanataka watu wakielewe.Lakini kuna upande mwingine wa jambo hili kama ambavyo kuna ndugu mwingine ameeleza pia huko juu...

Acha wakuu wadondoshe nondo na sisi tujisomee mkuu...

Ahsante sana kwa kuniita huku nami nimejifunza mengi....
 
Mkuu Eiyer nafurahi kukuona hapa

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
nimepitia habari za CERN nimeishia kuja na hili lisanamu lililoko nje ya makao makuu ya wanaoendesha hiyo project ya cern. hindu goddess ambaye ni destructive goddess.



nilicho pata huko pia mwandishi anasema hiyo cern iliko wekwa ni mahali bapo zamani paliaminika kuwa ni lango la other world(kama sijachanganya mafaili nikajiuliza je ni babeli mpya injengwa kwa namna ya advanced technology? au ni kitu gani hasa...!
zitto junior
 
Napenda na kufarijika na maendeleo yanayoletwa na sayansi ila kwa hizi nadharia za kusafiri kwa speed ya light na teleportation ni jambo lisilowezekana...
 
Dah!yaani kili ninapozidi kufaatilia mada hii kwa kupitia comments huku nikiwaza bei ya Michele kilo buku3 na kipimo cha tezi dume sijui kitaanza lini au watatustikiza gafra wacha ngoja niagize Kvant kubwa ni gide kwanza hala nitaludi
 
Napenda na kufarijika na maendeleo yanayoletwa na sayansi ila kwa hizi nadharia za kusafiri kwa speed ya light na teleportation ni jambo lisilowezekana...
Mkuu kwanini unasema haiwezekani ilihali discoveries zinafanyika kila siku hadi leo kuna missiles zinasafiri kwa spidi kubwa sana tena kwa sekunde kutoka nchi moja kwenda nyingine kwanni usiamini iko siku wataweza kusafirisha kitu kwa spidi ya mwanga wa radi!!!
 
Sheikhe yahaya alikuwa na mambo mengi ya mambo ya Giza lakini ukiweza kuyaweka katika sayansi ya fizikia yatakuletea mambo makubwa sema yeye alijiweka katika uchawi wa kijinga usio na faida kwa jamii labda kwake
Habari kubwa hizi
 
huu uzi naona unafufuka cern nao wamepiga hatua nitaleta mwendelezo wa hii project nikipata document zinazotosha kutengeneza post tatu kumbe hu uzi haustop unajifufua tu umenifufua na mimi kaeni mwendo wa kulaaa
Karibu mkuu utuelemishe watu bado wana kiu ya kujifunza mengi ndio maana hawachezi mbali na jukwaa hili

Tunaksubiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…