Upi ni ukweli kuhusu THE PHILADELPHIA EXPERIMENT

Upi ni ukweli kuhusu THE PHILADELPHIA EXPERIMENT

Usisemee Mwanza na Dar rafiki yangu ye kakwambia kwenda kwe Jua maanake ni mbali sana na inachukua mamilioni ya miaka japo ni kwa kasi ya mwanga maanake ni kuwa huyo kama ataweza kusafiri na kufika huko kwa kasi ya mwanga ni miaka milioni kadhaaa na kurudu milioni kadhaa sasa utakuta kuna wale uliowaacha? Maanake hata we unayesafiri utakufa hata kabla ya kufika huko sababu ya lifespan yako itafika mwisho

Ni sawa ,sasa kama nikirudi Mfu pana Faida gani tena hapo na Muda nntakuwa nimeufaidi vipi ?.Na ujue amesema kasi ya Mwanga inachukua Dk kadhaa kufik au kurudi Duniani Mkuu
 
Mkuu kuna aina 3 za teleportation (State teleportation, Energy teleportation na Particle teleportation). Kati ya zote hizo unayoongelea ni State teleportation ambayo so far ni kitu impossible!. Haiwezekani kitu kusafiri mwendo zaidi ya mwanga so far!, inawezekana labda walijaribu hiyo experiment yao na outcomes ya kutoweza safiri zaidi ya mwanga ndio hizo disfigurment kikifika kilipotumwa!..
Google kupitia kitengo chake cha Google X waliunda mission wakaiita "project moonshot" ambapo ndani yake waliweka na hiyo project ya 'teleportation' baada ya muda mrefu wa research waliachana nayo walipogundua ni kitu kisichowezekana kinapingana na sheria za physics!.
Hili halimaanishi hiki kitu hakiwezekani, lakini kitahitaji resource nyingi sana ndio maana kukawa na lab kutest mambo kama hayo. Kama experiment ya CERN huko Switzerland.
Hiyo Experiment inawezekana US Govt waliifanya lakini madhara yalowakuta ni makubwa!.

Mimi hapa nakuona wewe umejichanganya kwenye vitu viwili. Kulingana na maelezo yako ulivyofafanua aina za teleportation, ambazo hapo awali mimi nilikuwa sizijui, nimeweza kupata mambo matatu yafuatayo, ambayo wewe umeyaelewa tofauti.

MOJA: Ni kwamba aina ya Teleportation iliyofanyika kwenye meli tajwa katika mada hii ni PARTICLE TELEPORTATION na si STATE TELEPORTATION, kama ulivyo rule out wewe. Kulingana na maelezo yako, mimi nimepata picha kuwa state teleportation inahamisha STATE ya kitu tu na chenyewe kinaendelea kubaki physically pale pale kilipo. Yaani kama wewe hapo uko Ulaya sasa hivi, mwili wako unaendelea kubaki huko Ulaya lakini vitu vingine unakuwa uko Tanzania, unaona watu wa Manzese, unaona magari yanavyopita mitaani kariakoo, n.k.

PILI: Teleportation iliyofanyika hapa ilihamisha meli kwa umbali ambao si zaidi ya km 300,000. Kwa hiyo, assuming ilifanyika ndani ya sekunde moja, au hata chini ya hapo, bado teleportaion hiyo haikufanyika kwa kasi inayozidi kasi ya mwanga kwa sababu kutoka pale meli ilipokuwa mwanzo kwenda kule ilikohamia baada ya zoezi kufanyika, sidhanikama umbali wake unazidi hata km 10,000 achilia mbali km laki tatu! Kwa hiyo kwa makisio yangu, teleportation iliyofanyika hapa ilikuwa na kasi ambayo ni ndogo ANGALAU MARA 30 ukilinganisha na ile ya mwanga

TATU: Kufuatia hoja namba mbili hapo juu, Teleportaion hiyo ilifanyika na haikukiuka natural laws. Ingeweza kukiuka tu iwapo ingeweza ku-teleport meli hiyo kwa umbali wa angalau km 300,000 na chini ya muda ambao ni sekunde moja.
However, I stand to be corrected!
 
Dunia ina mengi ya kutisha na kushangaza pengine kutuacha midomo wazi siku moja nilikuwa na Professor wa Canada tunajadiliana kuhusu uwezekano wa mwanadamu kusafiri katika sipidi ya mwanga kama itawezekana alichoniambia ni kuwa hivi vitu vitawezekana na kuna inchi zimeendelea sana kuna mifumo inafanya kazi kwa sipidi kubwa ni mda tu mambo mengi yatakuwa wazi akanipa mfano wa Operation Gothic ya Israel inaweza kushambulia popote katika Dunia kwa mda wa saa unaofanana bila kuona chanzo cha shambulio na umbali mkubwa hata katika mabara yote 7 kwa sekunde moja unafikiri hii technology ni ya aina gani?
Akanipa mfano Israel imewahi kushambulia karibu mataifa yote ya mashariki ya kati na inchi za kiarabu kwa mda mmoja na ilisimamisha kila kitu ktk anga ya mashariki ya kati na inchi zote za kiarabu.

Kuna mambo mengi tukiweza kuyataftia ufumbuzi tunaweza kushi umri wa miaka million kwa mfano tufanye uwezo wa kusafiri mara 2 kasi ya mwanga tutaenda kwenye jua kwa dakika .3⅔ . ukienda na kurudi utakuwa umetumia dakika 7 na ndani ya mda huu utarudi duniani utawakuta uliowaacha wote ni marehemu kwa vizazi 2 na vijana wa kizazi cha 5 na 4.
Lakini wewe umri wako ni dakika 7 ukiweka na mshangao wa kuikuta Dodoma ni jiji kama Beijing labda utumie dakika 30 itakubidi uende century A. nyota ya karibu utumie siku nzima 24masaa x 60dakika =1440dakika

1440dakika/7dakika = 205.714 x 70= 1439.99miaka ukirudi utumie 1439.99

=2879.998 miaka ya kwenda na kurudi Duniani
Kizazi chote ulichoacha hautakikuta kitakuwa kimetoweka lakini wewe umri wako itakuwa SAA 24+24+7dakika+30dakika

= 2 siku na dakika 37 ndio utakuwa umri wako sasa ili ufikishe miaka 70 utaishi mamilioni ya miaka mpaka kufa.

YAJAYO YANAFURAHISHA

Kwenye Twin Paradox, you can prove this mathematically. Uko sahihi kabisa ila nadhani jua liko umbali wa km 149,600,000 au maili 93,500,000. Kwa hiyo ukitaka kusafiri kwenda na kurudi kwenye jua itabidi utumie sekunde angalau elfu moja. 500 za kwenda na 500 za kurudi!
 
Mimi hapa nakuona wewe umejichanganya kwenye vitu viwili. Kulingana na maelezo yako ulivyofafanua aina za teleportation, ambazo hapo awali mimi nilikuwa sizijui, nimeweza kupata mambo matatu yafuatayo, ambayo wewe umeyaelewa tofauti.

MOJA: Ni kwamba aina ya Teleportation iliyofanyika kwenye meli tajwa katika mada hii ni PARTICLE TELEPORTATION na si STATE TELEPORTATION, kama ulivyo rule out wewe. Kulingana na maelezo yako, mimi nimepata picha kuwa state teleportation inahamisha STATE ya kitu tu na chenyewe kinaendelea kubaki physically pale pale kilipo. Yaani kama wewe hapo uko Ulaya sasa hivi, mwili wako unaendelea kubaki huko Ulaya lakini vitu vingine unakuwa uko Tanzania, unaona watu wa Manzese, unaona magari yanavyopita mitaani kariakoo, n.k.

PILI: Teleportation iliyofanyika hapa ilihamisha meli kwa umbali ambao si zaidi ya km 300,000. Kwa hiyo, assuming ilifanyika ndani ya sekunde moja, au hata chini ya hapo, bado teleportaion hiyo haikufanyika kwa kasi inayozidi kasi ya mwanga kwa sababu kutoka pale meli ilipokuwa mwanzo kwenda kule ilikohamia baada ya zoezi kufanyika, sidhanikama umbali wake unazidi hata km 10,000 achilia mbali km laki tatu! Kwa hiyo kwa makisio yangu, teleportation iliyofanyika hapa ilikuwa na kasi ambayo ni ndogo ANGALAU MARA 30 ukilinganisha na ile ya mwanga

TATU: Kufuatia hoja namba mbili hapo juu, Teleportaion hiyo ilifanyika na haikukiuka natural laws. Ingeweza kukiuka tu iwapo ingeweza ku-teleport meli hiyo kwa umbali wa angalau km 300,000 na chini ya muda ambao ni sekunde moja.
However, I stand to be corrected!
Kuna kitu watu wanashindwa kuelewa juu ya Philadelphia experiment kwanini watu walikufa na wengine walipata mental paralysis au mental shift ...

Binadamu katika physical morphology can see and interact with other things katika mfumo wa 3D ( three dimension) tofauti na hapo ni lazima ugeuze morphology ya mwanadamu toka physical form into non physical form....

People died because they were about to change form ili kuendana na aina ya teleportation iliyofanyika...

Teleportation inaruhusu kama kitu kitakuwa frexible kuchange physical appearance ili kuendana na movement katika microholes kwenye space ambazo zinaruhusu vitu kupita katika mfumo tofauti kabisa...

Ndo mana watu walifika kule wakiwa hawana baadhi ya viungo ,

There was one option in order to survive under that experiment...
ulitakiwa either mwili wako upite katika zile microholes ila mind yako ibaki au mind ipite lakini mwili ubaki...

Ni ngumu sana mwili na mind kupita katika dimension kubwa above 3D ,ila kimoja kinatakiwa kubaki kutokana na aina ya mfumo wenyewe...

Thats why waliofika kule walikuwa disabled au miili yao iliokotwa huku mind zao zikiwa zimebaki somewhere hanging na kumbuka mind ndo inayokuwezesha kupata utambuzi wa mazingira ,so walikuwa kwenye coma( unconscious) condition.

Hii experiment iligharimu maisha ya watu na ndo mana waliofanyiwa au kuchaguliwa kama sample walikuwa ni wafungwa ambao hawakuwa na faida yoyote kwenye jeshi hilo na wengine ni baadhi ya wanajeshi ambao hawakujua lengo la experiment ile ..

Teleportation ina madhara makubwa sana kama haiko handled vizuri..
 
Inawezekana chombo kikatengenezwa maana kila kukicha wenzetu wanatafiti kupata mabadiriko ya mbadala mpya na kuachana na mambo ya zamani mfano;

Russia ametengeneza makombora yanayoweza kushambulia sehemu yeyote hapa duniani inaonekana yanasafiri kwa kasi ya 99.567sk inamaana ukiwa DSM kulipua mwanza utatumia 15.6sk
Ukiwa DSM kulipua Kampala utatumia sekunde km 1950 utatumia 24sk sasa ikiwezekana yakaboreshwa Mara 1000 ya kasi hii tayali unaikaribia kasi ya mwanga 92%

Inawezekana lakini kiumbe kitakachosafiri kwa hali ya kawaida itabidi kiwe kama kimekufa ili kitakapo fika kinakoelekea ndio kifanyiwe uponyaji kurudi hai lakini uwwzekano 99.9% KUFA kiumbe kitakacho safiri kwa kasi uwezekano wa kuishi ni 0.01%

Au kama tutatengeneza roboti ambazo tunaweza kuhamishia uhai hapo uwezekano wa kusafiri 100% maana miili tutakuwa tumeiacha Duniani

Kutengeneza chombo stahiki sina uhakika sana, inaweza kuwa isiwe vigumu tu bali pia impossible. According to natural laws, E=mc^2. Hii nishati inayotokana na Mass ya chombo kinachosafiri kwa kasi ya mwanga, kwa hiyo sehemu ya mass yake huwa inakuwa converted into energy, sasa jiulize hapo hiyo physics itakayotumika kubuni chombo cha aina hiyo. Still kitu ambacho mimi nadhani kinaweza kikaja kufanyika, ni hiyo teleportation kwamba kitu kinaji-dis-assemble hapa na kuyeyuka ghafla halafu ndani ya sekunde mjoa kinakuwa kimeji-assemble tena sehemu nyingine kule kilikokuwa kimepanga kwenda, lets say kwenye Galaxy ya Andromeda, ambayo iko angalau 20,000 Light Years away. Kitu hiki kikiwezekana, basi kasi ya mwanga kwa teknloji hii itakuwa ndogo kuzidi hata ile ya konokno!
 
Hii hapa Chief

CERN
Kiufupi CERN ni Conseil Européen pour la Recherche Nucléaire au European Organization for Nuclear Research. CERN inahusika na particle physics experiments ambapo ndo the largest machine in the world ambayo imejengwa underground kwa mzunguko wa 4700 miles imejengwa uswisi na kupitia katika mpaka wa ufaransa na uswisi.

CERN wamejenga Large Hadron Collider (LHC) kwa dhumuni la ku discover "GOD'S PARTICLES" au "Higg Boson". Kwa lugha nyepesi wanataka kujua particle inayo hold everything together (like atom ina neutron, electron na proton ambazo nazo zina subatomic zake kila moja, hivyo wanataka kujua the tiniest or smallest particle that is invisible but do exist, ambayo ndo higg boson experiment)
Kuielewa zaid CERN, yenyewe ndo ya kwanza kuanzisha world wide web "www", wao ilikuwa kwa ajili ya ma researchers kuwasiliana na bbade wakaitoa kwa public.
Turudi katika mada yetu, CERN wanafanya experiment za kugonganisha proton kwa proton ili kupata other particles katika detectors zao.

Wao CERN wanadai kwamba wakifanikiwa kupata God particles wataweza ku discover the door or a gateway ambayo wataweza ku discover vitu kutoka huko au kutuma kitu kwenda huko.

WHAT IS A GATEWAY OR A DOOR THAT CERN EXPECT TO DISCOVER?
Nikikurudisha nyuma kidogo kuhusu CERN, kuna kitu kinaitwa ANTIMATTER ambayo CERN imetengeneza LHC ili iweze ku discover ku hold na ku control anti matter. Inasemekana kuwa antimatter is very unstable so inaweza ikaleta destruction duniani. Hivyo kupitia antimatter wataeza kupata God's particle.
Hili ndo linalowaogopesha wengi kwa wanaofatilia kila wanachokifanya CERN, kwamba they want to create a portal au vortex ambayo ita link parallel universes.
Parallel universe kama inavotamkika ni universes ambazo hazikutani kabisa. Mfano sisi Binadamu ni certain dimension (to be exact 3rd Dimension beings) hivyo kuna Dimensions zingine ambazo hatuwez ku interact nazo. So mlango (a gateway) utakaopatika CERN utakuwa umeanzisha inter-dimension between different universes.

WHY IT BECAME A CONSPIRACY THEORY?
Kwanza kabisa CERN wameuita mwaka 2015 kuwa "INTERNATIONAL YEAR OF LIGHT". Kwamba lile swali tulilokuwa tunajiuliza kuhusu BIG BANG THEORY liko karibu kujibiwa maana pindi LHC ikiwashwa kwa energy kubwa ambayo ni 13 TERA ELECTRO VOLTAGE (13TeV) ambayo haijawahi kufanya kazi kwa nguvu hiyo ambapo itakuwa na uwezo wa kuzungusha proton kwa speed nearly speed ya mwaga (speed of light) ili kufanikisha collision kubwa haijawai tokea ili wapate God's particles ndipo watajua kuwa origin ya universe ni nini.

Pili kuna sanamu la Mungu wa Kihindi (SHIVA) katika Headquarter yake. Ukifatilia SANA kuhusu God Shiva ni Mungu wa kihindi mwenye maana ya "The Distroyer". Swali ni kwanini wameamua kumweka Shiva, Hivyo imebaki kuwa na majibu mengi ila majibu machache ni kwamba endapo watakapoweza kufungua huo mlango " a gateway" Shiva ambaye ndo the Distoryer ambaye pia anaaminika kuwa ndo Lucifer atatoka. Jibu lingine kwamba watatoka spritual beings ambazo ni demons ambapo watakufa watu wengi sana maana the only energy ya ku fungua mlango huo people's souls, jibu jengine ni kutoka kwa Antichrist ambaye atafanya wonders na watu kumfata, na la mwisho ni kukutana kwa mara ya kwanza na extraterrestrial beings.

MAWAZO MENGINE
Nikiingia katika iman ya kikristo yenye maelezo ambayo yanaweza kuipa mada hii changamoto ni Mnara wa babeli. Wengi tunajua habari ya mnara wa babeli ambao watu wa kale walijenga mnara ili kilele chake kifike mbinguni ili wasipate kutawanyika uson mwa dunia na wajiapatie jina kupitia hapo.
Mwanzo 11:1 Nchi yote ilikuwa na lugha moja na usemi mmoja.
2 Ikawa watu waliposafiri pande za mashariki waliona nchi tambarare katika nchi ya Shinari; wakakaa huko.
3 Wakaambiana, Haya, na tufanye matofali tukayachome moto. Walikuwa na matofali badala ya mawe, na lami badala ya chokaa.
4 Wakasema, Haya, na tujijengee mji, na mnara, na kilele chake kifike mbinguni, tujifanyie jina; ili tusipate kutawanyika usoni pa nchi yote.
5 Bwana akashuka ili auone mji na mnara waliokuwa wakiujenga wanadamu.
6 Bwana akasema, Tazama, watu hawa ni taifa moja, na lugha yao ni moja; na haya ndiyo wanayoanza kuyafanya, wala sasa hawatazuiliwa neno wanalokusudia kulifanya.
7 Haya, na tushuke huko, tuwachafulie usemi wao ili wasisikilizane maneno wao kwa wao.
8 Basi Bwana akawatawanya kutoka huko waende usoni pa nchi yote; wakaacha kuujenga ule mji.


Kwanza tupate kujua kuwa nia yao ilikuwa kufika Mbinguni na Bwana akasema hawa hawatazuiliwa kwa neno lolote ikimaanisha hawashindwi kitu kwa watakachoamua kukifanya hivyo akawabadili lugha.

Sasa waliwezaje kutaka kufanya mnara ufike Mbinguni wakati Mbinguni ni other than spiritual world? Na ukiangalia kwa sasa hivi ni ngumu kujenga mnara ambao utakaoweza fika mawinguni, sasa hao waliwezaje kutaka kujenga mnara ufike Mbinguni!!??

Well kwa mtazamo mwengine walikuwa wanajenga mlango wa kwenda mbiguni (walikuwa wanajenga kitu ambacho kina link different dimensions "a gateway" ) kama wanavyofanya CERN kwa sasa.
Hivyo Hii ya CERN ikifanikiwa na atakayetoka katika huo mlango ndo atakuwa the new Messiah ambaye ni Antichrist ambaye pia ni Nephilim (other claims that) - Nephilim ni offspring kati ya mwanadamu na fallen angels [DNA crossover].

Lakini ili uielewe zaidi hii kitu lazima uijue kwanza Project Blue Beam ila kwa kuwa uliitaka Cern ndio hivyo ilivyo japo ukisoma sana kuihusu utapata mkanganyiko mkubwa sana kuhusu malengo yao na nini taget yao

Kuhusu hiyo teleportation nadhani wamarekan wanatafuta kiki tu ili nao tujue wamo maana hata kama mwanzo iliua watu wengi wasingrshindwa kuendelea kuifanyia utafiti kwa kina zaidi hadi sasa hivyo wasitudanganye kabisa
Aiseee.. hiyo Project CERN haina lengo zuri na sisi wanadamu. Nimesoma mpaka nimepata goose bump
 
Nina uhakika ambaye anatetea hajasoma Physics kwa sababu kilichoandikwa kwenye physics hakipo. Kipo kwenye movie tu na website za conspiracy theories. Sio dharau ni ukweli. Tatizo ukweli unauma wengi hampendi kuusikia.

Unified field theory haiongelei teleportation em jaribu kuisoma uielewe. Ni theory tu ambayo inajaribu kuunganisha uhusiano uliopo kati ya forces na elementary particles basi. Hata ukiingia deep hukutani na teleportation. Mkisikia hizi terms za kiingereza zisiwatishe ni neno tu kama maneno mengine.

Ipo quantum entanglement na yenyewe watu hua wanapenda kuassociate na teleportation ila na wao pia wanakosea. Una particle mbili separated by any distance, properties zao zipo linked mfano unapima moja hapa inaspin clockwise nyingine ipo sayari nyingine ukipima unakuta inaspin the other direction. Hii bado haileti teleportation lakini its a good start kwa kua ni almost as if information is passed between infinite distances in an instant. Ila no one has any idea ya kinachotokea hapa kuweza kutumia kutengeneza something practical.

Philadelphia experiment sijui wameteleport meli ni upuuzi mtupu, simply because hata theory wanayotumia kuelezea haipo hivyo, sawa na mtu aseme 1+1=4 alafu useme ni kweli. Najua wengi watabisha sababu mnapenda kusikia mnachotaka kusikia ili muendelee kuishi kwenye fantasy yenu kua we can teleport stuff ila sorry to kill your dreams. Labda in the future tutaweza teleport mtu ila sio leo, leo hii tunaweza safirisha electron tu not anything with mass kubwa kama meli.

Uko sahihi, teleportaion should work on the principles of MEDITATIONS and the like, but not phsics. Hapa hakuna phsics hata kidogo, kuna meditation tu!
 
Aiseee.. hiyo Project CERN haina lengo zuri na sisi wanadamu. Nimesoma mpaka nimepata goose bump
Lengo sio uzuri kwako ila kuwa na ubaya tu na hasa kutowesha kizazi kinachoamini katika dini!! Ila sio Mimi wala wewe watakaoweza kuona madhara yake ila hay ni maandalizi ya vizazi zaidi ya kumi vijavyo!!
 
Mkuu kwa meditation unaweza kuhamisha kitu?

tatizo lugha

Ninadani hivyo kwa sababu almost everything nje ya Sayansi ni Meditation. Zipo za aina nyingi, wewe nadhani umejikita kwenye Yoga tu na ndiyo maana unashangaa. Hata uchawi is just one form of meditation. Kwa kifupi maana ya meditation ni tafakuri ya hali ya juu kwenye mazingira ya utulivu, basi. Meditation siyo Yoga tu!
 
hiyo Philadelphia experiment nimeisoma sehemu ngoma ilikubali na walifanya Mara mbili kama kutest na ikatik ila mara ya kwanza watu walikufa bila kutegemea na mara ya pili watu hawakufa sema waliwaflash ubongo watu waliokuwa ndani ya meli ili kuficha siri

nikipata muda nitaleta hako story
Mkuu nadhani utakuwa umepata muda.

Tueleze mkuu japo tujue..

Enhee ikawaje...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Our Physics is not complete kama ya kwao even some of their curriculum ya physics ipo na vitu vingi sana vyenye applicability kwa mazingira yao.

Sent using Infinix hot 4
Aha kwani ya kwetu scope yake imeishia wapi? Mf kwenye masuala ya anga kama hizo time travel kuna chochote imeeleza kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aha kwani ya kwetu scope yake imeishia wapi? Mf kwenye masuala ya anga kama hizo time travel kuna chochote imeeleza kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefanikiwa kusoma physics pamoja na kuna a ndugu zangu ambao ni walimu wa physics ila umahiri wao upo moderate sana. Hapa ishu za time travel pamoja na transportation hazijazungumziwa in deep sana zipo shallow

Sent using Infinix hot 4
 
Hii Mada upuuzi tu

Albert Eistein hajawahi kuandika chochote kuhusu Teleportation Wala Quantum physics

In short,Alikua ni Mkosoaji mkubwa wa hizo nadharia

Pia quantum Teleportation haiwezi kuamisha hata punje ya ngano Achilia mbali Meli

Next time ukopi kwa akili sio unaandika upuuzi tu
 
Back
Top Bottom