kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
Bora ungeficha tu ujinga wakoNakumbuka shehk yahaya katika vipindi vyake aliwahi kusema kuwa kuna jini ambalo lina uwezo wa kuhamisha nyumba na kuipeleka sehemu nyingine kufumba na kifumbua, sasa sioni tofauti na hii, tatizo tumesha amini kwamba wazungu sio wachawi.
Sent using Jamii Forums mobile app