Naomba aliyekuelewa anifafanulie mimi wa upeSijui akili ya mleta mada au ndio wale wa darasa la upe. Swali dogo 49% Kwa bilion 20 kutoka kwenye thamani gani ya 100. Je thamani ya 100 ni bilion 500 kusema sasa tumepigwa kupewa 20 kwenye 49%. Kwa Utopolo inajulikana out of 35000. Mnapata 1500
Good analysismfano umeuza jezi kwa wanachama wako zaidi ya 5m... na ukapewa mlabaha wa 1,300/- toka kwa kila jezi, sawa na jumla ya sh. 6,500,000,000/- kama sijakosea
wakati huo jezi hizo 5,000,000 zikiuzwa kwa thamani ya sh 35,000/- kila moja, ina maana mapato yatakuwa 175,000,000,000/- yatokanayo na jezi bila kodi au gharama zingine za uzalishaji pamoja nk...
sasa baada ya kodi au kabla ya kodi yanga watapata 6.5B kama watauza jezi zipatazo 5M na mzabuni atabakiwa na kiasi cha 150B+ baada ya kodi au kabla ya kodi...
kila la kheri yanga ktk uwekezaji wenye tija na usio na tija...
Kwa fan base ya simba mauzo ya pcs 1,000,000 kwa msimu ni kwa uchache sana tu aasume simba inapata tshs 5,000 kwa kila pc moja, kama jezi 1m ziliuzwa simba ingepata 5b lakini kwakuwa mkata wao ni wa hovyo watambulia 1b ili hali Yanga ikiwa kwa msimu watauza hizo jezi 1m watapata 1.3bKuna vitu vya kubashiri mkuu ila sio mauzo ya jezi, kama wahusika hawajatoa takwimu ni ngumu kujua, anyway wewe unafikiria zinaweza kuwa pc ngapi?
SanaSimba kupata 1b kwa msimu bila kujalisha ni jezi ngapi zitauzwa huo ni ulimbukeni
Wote wale waleWawekezaji wa Yanga na Simba hawawezi pishana sana
mfano umeuza jezi kwa wanachama wako zaidi ya 5m... na ukapewa mlabaha wa 1,300/- toka kwa kila jezi, sawa na jumla ya sh. 6,500,000,000/- kama sijakosea
wakati huo jezi hizo 5,000,000 zikiuzwa kwa thamani ya sh 35,000/- kila moja, ina maana mapato yatakuwa 175,000,000,000/- yatokanayo na jezi bila kodi au gharama zingine za uzalishaji pamoja nk...
sasa baada ya kodi au kabla ya kodi yanga watapata 6.5B kama watauza jezi zipatazo 5M na mzabuni atabakiwa na kiasi cha 150B+ baada ya kodi au kabla ya kodi...
kila la kheri yanga ktk uwekezaji wenye tija na usio na tija...
Mkuu naona umeamua unaongea Kwa hisia na sio fact's, hivi unadhani kuuza jezi 1M bongo rahisi kiasi hicho ehhh, sio tu Kwamba kuuza jezi 1M Tanzania ni ngumu bali ni kwamba HAIWEZEKANIKwa fan base ya simba mauzo ya pcs 1,000,000 kwa msimu ni kwa uchache sana tu aasume simba inapata tshs 5,000 kwa kila pc moja, kama jezi 1m ziliuzwa simba ingepata 5b lakini kwakuwa mkata wao ni wa hovyo watambulia 1b ili hali Yanga ikiwa kwa msimu watauza hizo jezi 1m watapata 1.3b
We jamaa unatumia Akili ndogo sana kwenye kujenga hoja, ukisema Simba kupata 1B bila kujua jezi zitauzwa ngapi Kwa msimu unaita ulimbukeni je na unaongeleaje Yanga ambae anauza jezi pcs 45000 Kwa msimu na kuambulia 45M?Simba kupata 1b kwa msimu bila kujalisha ni jezi ngapi zitauzwa huo ni ulimbukeni
Haijauzwa, mahojiano ya salama na bwana engineer alisema wako kwenye mchakato wataalam wataifanyia tathmini club halafu nusu ya hisa zitauzwa kwa wawekezaji nusu zitabaki za wanachama na itakuwa mwekezaji yeyote anayeweza kuafford.Nyie mmemuuzia GSM yanga kwa sh ngapi?
Bado Ina load soon utajuaNyie mmemuuzia GSM yanga kwa sh ngapi?
Sasambua mkatabaKwa taarifa ambazo walitoa Simba pamoja na Vunjabei ni kuwa Vunja bei mkataba wake na Simba ni wa miaka 2 na wenye thamani ya 2B, hivo itakuwa 1B Kwa kila msimu
Haya tushaanzia hapo, sasa tuendelee mkuu...!
kwa hapo Simba walipoanzia sio mbaya,kama unakumbuka mwaka wa s=mwisho simba kabla hajaingia Vunja Bei Simba waliingia mkataba wa jezi kwa kulipwa milioni 300 kwa mwaka,Simba walivyokuja kutangaza tenda msimu wa pili yake ndio Vunja bei akakoti bilioni mbili mkataba wa miaka 2,Hapo hata kama wewe ndio ungekuwa Ceo usingekataa dili kubwa kama ilo,kutoka milioni 300 mpaka Bilioni moja kwa mwaka,Sasa angalia mkataba wake vunja bei ukija kuisha uyo atakayekuja kupata lazima atangaze bei kubwa,mpaka hapo utakuwa ushaelewaSimba kupata 1b kwa msimu bila kujalisha ni jezi ngapi zitauzwa huo ni ulimbukeni
Like wazi kwa maneno au kimaandishi? Manake mkigombana kidogo tunasikia wanaanza kuulizia bil 20 zipo wapi.Suala la 49% shares kuuzwa kwa Tsh 20bn lipo wazi. Lkn hakuna uwazi juu ya mkataba wa jezi wa Yanga. Sasa waleta hoja za 1,300 @ ndo ambao wanapaswa kukuletea mkataba.
Nyie endeleeni kuchezea shilingi chooni, Kwa usajili mnao ufanya zipo Dalili za timu kushuka Daraja.Duuh, 1300 hata wali nyama hupati bila kusahau chips kavu