Upi utofauti wa hawa mamba wawili?

Tofauti Ipo mkuu..

Huyo wa Kushoto Ni American Alligator (Alligator mississippiensis) na Huyo mambo wa Kulia anaitwa Nile Crocodile (Crocodylus niloticus) au pia wanaita Saltwater Crocodile (Crocodylus porosus)

tofauti za Mamba hao Ni Umbo la kichwa,Ngozi yao na mpangilio wa Magamba, Na mpangilio wa Macho akama utachunguza Vizuri..
 
Madhara yakoje ukikutana nao, au wote ni wavunja viuno.

Simpendi kabisa huyu kiumbe aisee..
 
Madhara yakoje ukikutana nao, au wote ni wavunja viuno.

Simpendi kabisa huyu kiumbe aisee..
Japo mamba Aina yoypte ni hatari mzee Haijalishi hata kama akiwa katokea Ukerewe kwa Wajita

Ila kwa hao hapo juu

American Alligator (Alligator mississippiensis) sio mamba Ambaye anaweza Kukuvamia Bila kuchokozwa Ni mamba anayekwepa Sana Binadamu na Kuwaogopa Ila anaAttak pale anapopatwa na Stress yaani Kama akipata Tishio la kuhisi maisha yake yako hataruni Bhasi humuattak Mtu na kumdhuru..

Kwahyo ukimchokoza hana cha msalia mtume au Akichokozwa halafu wewe ukapita Mbele yake bhasi huna bahati

Ila

Nile Crocodile (Crocodylus niloticus) na Saltwater Crocodile (Crocodylus porosus
..hawa wanavamia na kushambilia Bila kuchokozwa na Ni mamba wakali sana kuliko wote..
Sana sana Huyu Nile crocodile ni hatari sana huyu akisikia Harufu ya Binadamu kwenye maji atakimbia mpaka ampate
 
Hakika elimu haina mwisho. Nilikua sijui lolote kuhusu haya uliyoeleza na wala sikuwah kujua uwepo wa huyu aligator..sikuwahbjua kama baharini kuna mamba zaidi ya mitoni na maziwani
 
Wanaua vibaya sana hawa viumbe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…