Nyooooookaribu dodoma kwenye sherehe za kuapishwa kwa JPM
Mbinu ya kivita hiyo mkuu,unaona wote wametolewa mpaka sisiemu unashangilia wakati hujui nini kinaendelea huko ndani,ungejua kinachoendelea ndani ungesikitika sanaLeo nimefurahi sana na misimamo ya wananzengo baada ya kukuta mawakala wote hawana barua za utambulisho hadi wakala wa chama cha Jembw na Nyundo. Msimamizi msaidizi akawatoa wote nje mpaka hapo watakapok.ilisha taratibu. Huku na huku viongozi wa CCM toka kata wakaja kushinikiza wakala wao aingie, na ndipo raia wakachachamaa kuwa kama wa mataga anaingia basi wote waingie. Ikabidi CCM wakimbie.
Ila nimependa sana hii spirit ya wapiga kura. Kumbe elimu ya mpiga kura imefanikiwa kwa kiasi fulani.
Kila la kheri uchaguzi wa 2020, na Mungu akafanikishe haki na uhuru vikatamaraki.
Umeghafilika ehh ?Hichon tu kumbe!
Mi ni wakala wa chadema ila huku tabata kituo ninachosimamia mawakala wa CCM wamekuja hawana barua ila wakakataliwa kuingia but wameletewa toka kataSijajua kun tatizo gani na hawa wakurugenzi. Inakuaje wakurugenzi hawatoi barua za utambulisho kwa mawakala. Mtendaji wa kata anahusika vipi kwenye kutoa utambulisho wa mawakala. Tanzania hatuna Tume kabisa
Tulia sindano ikuingie, mwaka huu hamtoboiHiyo ni kura yako unatuonyesha ili iweje. Mmeshindwa kuwashawishi wananchi sasa mnajifariji kwa kuvunja sheria.Pimbi kweli
Hapana, nilifikiri ni bonge la ufumbuzi!Umeghafilika ehh ?
Vipi nyie wa Chadema mna barua za utambulisho?Mi ni wakala wa chadema ila huku tabata kituo ninachosimamia mawakala wa CCM wamekuja hawana barua ila wakakataliwa kuingia but wameletewa toka kata
Kama hamna fanyeni hima mgombea wa maeneo hayo ashughulikie hilo suala mapema kabla ya kuanza kuhesabu kulaVipi nyie wa Chadema mna barua za utambulisho?
Relax kidogo mkuuHapana, nilifikiri ni bonge la ufumbuzi!
Tupo pamojaHa ha..
Mambo ni kama hivi View attachment 1614616
Muuaji hana nafasi tena kwenye sanduku la kuraChadema Endeleeni kijifariji
Huu ni Uchaguzi wa kuwafundisha Wasaliti wa Nchi
Muwe mnatuelewa
utakuwa jamii ya james delicious maana umeandika vizuri hilo nenoNyoooooo
Safi sana.Mtajibeba leo utopolo wa lumumba! Watu na mahaba yao kwa chadema, dikteta lazima arudi chatto au aende ICC
Burdani! Burdani! Burdani! najisikia hali fulani kama niliyojisikia wakati Tukuyu Stars ilipochukua ubingwa wa Ligi kuuHa ha..
Mambo ni kama hivi View attachment 1614616
Muwe mnaweza na video za matukoi haya maana kwa sasa JF ndio mbadala wa twitter, facebook, youtube and younameothers....Leo nimefurahi sana na misimamo ya wananzengo baada ya kukuta mawakala wote hawana barua za utambulisho hadi wakala wa chama cha Jembw na Nyundo. Msimamizi msaidizi akawatoa wote nje mpaka hapo watakapok.ilisha taratibu. Huku na huku viongozi wa CCM toka kata wakaja kushinikiza wakala wao aingie, na ndipo raia wakachachamaa kuwa kama wa mataga anaingia basi wote waingie. Ikabidi CCM wakimbie.
Ila nimependa sana hii spirit ya wapiga kura. Kumbe elimu ya mpiga kura imefanikiwa kwa kiasi fulani.
Kila la kheri uchaguzi wa 2020, na Mungu akafanikishe haki na uhuru vikatamaraki.
Muuaji hana nafasi tena kwenye sanduku la kura
Umefurahi sasa wakati ndo nyama kaachiwa fisi peke yake bila ulinziLeo nimefurahi sana na misimamo ya wananzengo baada ya kukuta mawakala wote hawana barua za utambulisho hadi wakala wa chama cha Jembw na Nyundo. Msimamizi msaidizi akawatoa wote nje mpaka hapo watakapok.ilisha taratibu. Huku na huku viongozi wa CCM toka kata wakaja kushinikiza wakala wao aingie, na ndipo raia wakachachamaa kuwa kama wa mataga anaingia basi wote waingie. Ikabidi CCM wakimbie.
Ila nimependa sana hii spirit ya wapiga kura. Kumbe elimu ya mpiga kura imefanikiwa kwa kiasi fulani.
Kila la kheri uchaguzi wa 2020, na Mungu akafanikishe haki na uhuru vikatamaraki.
Zipo mkuu kila kitu huku ilikuwa well organizedVipi nyie wa Chadema mna barua za utambulisho?
Mtajibeba leo utopolo wa lumumba! Watu na mahaba yao kwa chadema, dikteta lazima arudi chatto au aende ICC
Hawajkosa baruwa kwa bahati mbaya. Imeratibiwa na CCM ili wastekeleze jukumu lao na CCM wapate mwanya wa kufanya watakavyo.Mawakala wengi wa vyama vya siasa hawana barua, unasimamiaje uchaguzi huna barua na huna kitambulisho cha tume?