Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
Nani kasema....??? Mimi kwenye harusi yangu mezan waniwekee kvant kama zote...na nazipiga vizuri siogop baba mkwe wala mjomba mkweDawa yao ni kuwaambia wahudumie ile meza kuu pekee (yenye bibi na bwana harusi).
Watabaki wanapiga vigelegele tu maana wale watu hua hawanywi sana.