Upigaji na ubadhirifu wa fedha za umma kupitia miradi kulikokithiri kwa Sasa, nini kifanyike?

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,547
Reaction score
7,167
Habari JF.
Kumekuwa na ubadhirifu wa fedha za umma kupitia miradi mbalimbali inayotekelezwa na serikali ya awamu ya 6.

Hali ni mbaya ktk kila idara na wizara, mashirika na mamlaka mbalimbali.

Ziara za waziri Mkuu na mawaziri wengine yanaibua madudu mbalimbali.
Uporaji upo ilihali Rais yupo, Waziri Mkuu yupo, mawaziri wapo,Ma RC wapo, MaDC wapo, MaDED wapo, TAKUKURU ipo nk.

Kwanini wizi wote huu?

Nini kifanyike?
 
Upigaji upo tu..ukianza kulinganisha awamu unakuwa upo biased tu.

Ni kipindi gani watu waliacha kupiga pesa zetu?

Una data za kuaminika?

Itungwe tu sheria ya mtu kunyongwa hadharani akiiba hata shilingi mia moja ya nchi..sema bila kupata viongozi wa juu waadilifu tu the maximum hata hili bado halitasaidia.
 
Una uhakika Hali Ni mbaya kila idara?
 
 
2025 muache kuchagua ccm na wambie polisi mkianza na sisi tunaanza na ndugu zenu
 
Nini kifanyike kivipi? Nyie endeleeni na swagwa za nini Kifanyike, Bila kuachana na Uzezeta mtapigwa sana
 
Tuondokane na CCM mara moja.
 
Watu wanakula urefu wa kamba tu qmmanae
 
WACHA WATU WAJIPIGIE TANGANYIKA SHAMBA LA BIBI NA ISITOSHE KATIBA ILIYOPO INARUHUSU IPIGAJI CCM OYEE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…