Upigaji Punyeto: Zijue hasara/ madhara pamoja na njia sahihi za kuacha tabia hii

Upigaji Punyeto: Zijue hasara/ madhara pamoja na njia sahihi za kuacha tabia hii

Hah mkuu sijaoa , kuna kidem nimekipata cha first year, ndio kimenipa jeuri ya kujitoa chamani, na amenihakikishia kunipa huduma atleast mara 3 per week..


Sent from my iPhone using JamiiForums
angalia dogo isiwe umekuja mjini hapa ukaishia kununua malaya wa bei chee tukakupoteza

ni vema ubaki chamani tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe kuacha punyeto nimefanya kosa kubwa LA kiufundi😂😂😂😂😂😂 ila hawa wanatuambia kuwa ina madhara wamekuwa kama motivation speaker
Wafanyabiashara hao. Halafu na wanawake wetu wanayabeba hayo.
 
Back
Top Bottom