we nawe mzembe..tafuta mate hapo ujilie ..ina maana we hadi umri huo hunaga Mdada anaekutaka na wewe humtaki? mi naamini age hiyo tyr kuna wadada wengi ambao hawakua type zako umewakataa kbsa ila wao wanakutaka hadi kesho kutwa,huu ndio muda wa kupita nao pooza engine hiyo.
ila kama kila aliekua akikutaka ulikua unamla aseee chaputa itakua mbadala wako tuuu sijaona njia ingine ya wee kupona,hali hizo hunikuta sana ila Nikishika simu nikivuta tu kwa mdhaifu wangu m1 anaileta hata kama niwe zanzibar ataipandisha boat ailete
Ukiwa mwanaume sio uhakubali kubali tu kila dem hao wanaokutaka for no reason mi nawaekaga akiba..case za namna hii ndio wanazi solve.