Upigaji Punyeto: Zijue hasara/ madhara pamoja na njia sahihi za kuacha tabia hii

Upigaji Punyeto: Zijue hasara/ madhara pamoja na njia sahihi za kuacha tabia hii

Hii kitu acha tu...kuacha ni Kama haiwezekani!

Maana hata mademu zetu hawavutii Kama wale wanaoekti porno...wale Ni wasafi balaa...nyie acheni tu kuacha Ponyoponyo is almost impossible
 
wanasema kwenye chaputa chama Chao hakuna kustaafu.
Labda ufe.
 
Kulingana na WHO, kama kijana wa kiume uliyekamilika inabidi uwe ulishasajiliwa kwenye hiki chama walau mara kadhaa maishani mwako.


Sasa ww endelea kubishana na tafiti.

Unforgetable
 
Ethical Ninja CEH, aani unataka kuniambia niache kuwaangalia akina Bella Bellz,Naomi Russell, Joyce Oliveira,Gina Jolie, Angela Russell na female porn stars wengine wakali.

Siwezi aisee...
 
Sijawahi angalia
ni ngumu sana mkuu mimi pamoja na kuwa mtu makini sana lakini wahuni walinitegeshea wakanambia eti njoo uone muvi ya Van Damme na Jackie Chan wanapigana uchi aisee nilishangaa sana kwenda kuangalia nikakutana na kitu ambacho sijawahi kukiangalia toka nizaliwe bila kujitambua nikaendelea kuganda kwenye screen kwa dkk ambazo sikumbuki zilikuwa ngapi....nilikuwa form one kipindi hicho.
#wahunisiowatu
 
Duniani kuna watu bil 7.9.
Na according to recent statistics visitors wa websites za ngono wanafika bil 5.5.... kibongo bongo almost kila kijana anacheki pilau.
Duniani hao bil 2.4 waliobakia(wasioangalia porn) ni vichaa ,vipofu , wagonjwa mahututi ,watoto wadogo sana na wasio na access na Internet...
Porn sio tatizo tena ni lifestyle
TWAWEZA
 
Back
Top Bottom