Upigaji Punyeto: Zijue hasara/ madhara pamoja na njia sahihi za kuacha tabia hii

Upigaji Punyeto: Zijue hasara/ madhara pamoja na njia sahihi za kuacha tabia hii

Hahaaa!
Huyu mwana haelewi[emoji23][emoji23] watu wanaenda kanisani huku mzigo uko unaendelea kudownload akimaliza kusali anarudi gheto kuangalia...
Hadi wachungaji wanaangalia sana hizi video.

Kuna mtu tunaheshimiana sana alinipa simu yake nimuangalizie kitu mtandaoni naingia kwenye browser history nakuta website ambazo hata mimi sijawahi kuziona za pilau..
Nilichofanya ni kuzicopy hizo website kwa matumizi ya baadae
Mkuu hata mimi nakumbuka miaka ya 2016,nikiwa Mbeya kwa sasa ni Songwe wakati huo kuna zile simu za Ku slide na kukunja.

Kuna Mchungaji alinipa simu yake akaniambia "Kijana nasikia kuna video za ajabu katika ulimwengu huu, tuweke vocha na mimi nizione."

Nikamuuliza, "Video zipi mzee?" Huku nikijua anachotaka,akasema zile wanafanya mambo ya ajabu.Nikamwambia anunue vocha za elfu mbili Voda.

Tukaweka vocha na kuanza kucheck madude kwenye website ya Phonerotica.Mzee akaniambia "Weka hizi kwenye simu nikihitaji nitakuwa naangalia." Alifurahi sana.

Mpaka tunaachana mzee alikuwa amenikabidhi buku.
 
Daaah!! Member since 2013 huu mchezo mtamu sana!! Asikuambie MTU bora nibakie huku kuliko kwenda kuparamia magonjwa ya ajabu ajabu ya zinaa!!

Cha msingi unapiga kisomi...daily round moja kabla ya kulala!!
 
Daaah!! Member since 2013 huu mchezo mtamu sana!! Asikuambie MTU bora nibakie huku kuliko kwenda kuparamia magonjwa ya ajabu ajabu ya zinaa!!

Cha msingi unapiga kisomi...daily round moja kabla ya kulala!!
Haaaaaaa mkuu tumeanza mwaka mmoja mi nilianza January 2013 Ila now naona inatosha kbsaa, nipo ktk hatua za mwisho kbsa kuacha huu mchezo
 
Hivi unavobwabwaja huku jf kule mchungaji wako anamimina cha pili kukitakia maisha marefu chama cha chaputa
 
Daaah!! Member since 2013 huu mchezo mtamu sana!! Asikuambie MTU bora nibakie huku kuliko kwenda kuparamia magonjwa ya ajabu ajabu ya zinaa!!

Cha msingi unapiga kisomi...daily round moja kabla ya kulala!!
Hahaaa watu mmebobea
 
Nyeto sio nzuri..ukiwa na nia utaacha tu...wengi tumepitia unakopita ila tuliacha baada ya kuweka nia.
 
Mleta uzi hongera umefunguka kiume. Kwanza wengi wetu wanaume katika kukua miaka ile ya o-level, a-level au chuo masturbation tumefanya sana so sio suala la ajabu kabisa.

Pili mastrubation haina madhara yoyote kiafya kama wengi wasemavyo, shida tu ipo pale inapokuwa excess unapata pyschological breakdowns kila unapomaliza shughuli.

Tatu, kuacha sio ishu ya siku moja...... it takes time bro, kwa uchache ni miezi kadhaa. Usiache ghafla, nakuhakikishia utarudi tena. Jifunze kupunguza pole pole, wakati huo unafanya mambo mbadala ya kuchukua akili na muda wako.

Cha muhimu kabisa, tafuta mwanamke wa kukutana kimwili au weka mipango uoe. Hii pekee itakupunguza akili zote za punyeto sanaa. Then badili kidogo lifestyle na namna ya kuspend muda. Tafuta hobby mpya, soma vitabu/bible, piga soka, nenda gym, usiwe wa kujifungia. Ya kufanya ni mengi sana but unaweza mzeya. Wote tulipita huko tukaacha maisha yakaendelea, vitu vya kawaida kabisa.
 
Mkuu kuangalia porn na kupiga puli ni vitu visivyoachika kwa hiyo njia uliyoitoa ndugu.

Njia pekee ya kuacha hivyi vitu viwili, in fact siyo kuacha, ngoja niweke sentensi vizuri. Njia pekee ya kupumzika kujihusisha na hivyo vitu ni kwa kukaa na watu muda wote.

Kwa basi ni kukaa na watu?

Kwanza ujue, kupiga puli kunaitaji faragha ya hali ya juu, yaani mtu anapopiga puli akikutwa ni sawa na "kafumaniwa" sasa ili mtu aache puli ni akae na watu muda mwingi.

Njia ya pili ni kutokuwa na stress, amini wapiga puli wengi almost wote huwa wanapiga puli wakiwa na stress. Hakuna mpiga puli anayepiga puli akiwa na furaha. (Member watatoa ushuhuda)

Mtu pekee anayeweza kumfanya mpiga puli akaacha kupiga puli ni mpenzi mkorofi na aliye romantic, hapa nieleweke nikisema mkorofi ninamaanisha mtata kweli ila ndani ya utata wake awe romantic pia. Huyu anao uwezo wa kumfanya mpiga puli akaacha kupiga puli kwa 90%

Tip: wapiga puli ndio watu wenye nafasi kubwa ya kufanikiwa mambo yao. Mf. masomo, kazi na biashara, sababu huwa hawana vikwazo vya wapenzi, ila ni wapuuza mambo. Hali inayofanya watu wahisi wapiga puli ni wasahaulifu, si kweli, wapiga puli wana memory active sana. Mpiga puli anauwezo wa kukumbuka mpangilio wa sauti alizowahi kuzisikia hata miaka 5 iliyopita kwa usahihi.
 
hahaha siku moja nikiwa advance usiku nilibanwa sana na genye nikapiga ponyeto usiku huo, nilivomaliza tu tumbo likaanza kuniuma balaa baada ya masaa kadhaa nikaanza kuhara usiku ule niliharisha kama mtu mwenye HIV, yaani ilikuwa mharo na mimi, mimi na mharo... hii hali ilienda kama siku2 hivi then ikakataka.... ikawa mwanzo na mwisho kupiga punyeto
ukiamua utaweza kuanza maisha mapya
kweli aisee,nyeto huleta tumbo kuuma,huo mchezo mbaya sana
 
Chief angalia ukitoka kwenye nyeto unaweza anza banduliwaa maana umesema ushafanya kila kitu.
Dah! Mkuu kweli kuna kale karaha ka dk5 lkn tamanio langu ni kupata raha ktk njia na mfumo rasmi na kuondokana na hisia ya hatia nayoisikia kila baada ya kupiga punyeto maana kila nikawaona wanaume wengine ingawa sijui maisha yao kiundani halafu nikitafikiria yote niyafanyayo sirini najiona nina mapungufu na sijakamilika.
 
Mgeni wa Jiji,

Bro kuna mdogo wangu alikuwa form 2 tulikuwa tunalala nae room moja, Alikuwa anapiga nyeto mbele yangu tena kama ni usiku anawasha taa anaanza kupiga. Sema darasani pia ndo alikuwa anaonhoza [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom