Duuuuu kumbe gharama ya kupima macho ni hivi: optometrists - sh 10,000 opthalmologists - sh 25,000. Lkini kwa voucher hii no single thumni.......duuuuu watu wana save 35,000 tzs na wikiendi hii ilivyo mkakis duuuuuuu sio mbaya maisha ni pesa sio elimu (ama sorry kwa wasongo) japo naamini kusoma ili upate hela kama umesoma huna hela....to hell with your elimu(samahanini jamani ibara ya 18 ya katiba inaruhusu freedom of speech na hata kuamini pia)!