Upimaji macho bureeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee eeeeeeeeeeeeeeeeee

ITV wanafanya yao hapa.........wanachukua video ya kila eneo na uwakilishi wowotw pale hata sie wa kino kama kawaida....samahani Skype, na Chabruma mwenzenu katiba mpya inanizingua i dont see any future as green asa i used to drem of....nipo kwenye vishow vidogo vidogo km hv najiliwaza.....tz sio nchi ya kuishi ni nchi ya kuchuma na kwenda kuishi mbali....huko sijui wapi!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…