Upinzani, Urais muachieni Magufuli, nguvu zote zipeleke kupata wabunge wengi bungeni, mtakuwa na maamuzi mazito ya nchi hii. Kimfumo nyinyi mtakuwa "Rais" maana hakuna maamuzi unconstitutional atayafanya ambayo yatapita!
Hakuna sheria mbovu zitapita etc. Demokrasia ya kweli itatamalaki maana hata impeachment itawezekana na hatakuwa tayari to undergo impeachment kwa kuvunja Katiba/sheria!
Hakuna sheria mbovu zitapita etc. Demokrasia ya kweli itatamalaki maana hata impeachment itawezekana na hatakuwa tayari to undergo impeachment kwa kuvunja Katiba/sheria!