Mnajua fika kuwa kilichofanyika katika uchaguzi was serikali za mitaa kitarudiwa hivyo hivyo au na kuzidi. Mmejipangaje kukabikiana na hilo?
Nimemsikia Katibu was Baraza la wazee Chadema akisema walisusia uchaguzi wa serikali za mitaa kuweka ushahidi. Well and fine, acceptable! Sasa what is the next move maana CCM na Rais wao watafanya Yale Yale.
Mnachukua tahadhali gani? Mkiingia bila kuwa na uhakika wa haki kutendeka katika sanduku LA kura , 100% hamtapata mbunge/Diwani hata mmoja Tanzania nzima. Reference ni uchaguzi wa juzi.
Huyu jamaa kadhamilia "kuwaua". Tume huru ya uchaguzi? How do you move with that agenda from today, NOT tomorrow!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimemsikia Katibu was Baraza la wazee Chadema akisema walisusia uchaguzi wa serikali za mitaa kuweka ushahidi. Well and fine, acceptable! Sasa what is the next move maana CCM na Rais wao watafanya Yale Yale.
Mnachukua tahadhali gani? Mkiingia bila kuwa na uhakika wa haki kutendeka katika sanduku LA kura , 100% hamtapata mbunge/Diwani hata mmoja Tanzania nzima. Reference ni uchaguzi wa juzi.
Huyu jamaa kadhamilia "kuwaua". Tume huru ya uchaguzi? How do you move with that agenda from today, NOT tomorrow!
Sent using Jamii Forums mobile app