Gwappo Mwakatobe
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,730
- 2,230
Hivi upinzani umeishiwa kabisa hoja na sera za kuwasemea wananchi na taifa letu kwa ujumla mpaka wadandie mabaya na matusi ya wana CCM?
Tunafaidika nini sisi wananchi kwa kutukanana wana CCM? Taifa letu litapataje maendeleo kwa kujadili matusi wanayotukanana wana CCM?
Kwani kuna jipya lipi alilolisema Paul Makonda kuhusu kuzodoana kwa wana CCM?
Hatukumbuki Kikwete alivyosema wana CCM hawaachiani maji ya kunywa?
Hatukumbuki sumu aliyowekewa Mwakyembe na wana CCM wenzake?
Hatukumbuki jinsi Phillip Mangula alivyoponea chupuchupu kufa kwa kuwekewa sumu alipokuwa kwenye kikao cha CCM?
Hatukumbuki matusi ya Kinana, Nape na Makamba kwa Hayati Magufuli?
Hatukumbuki Rais Samia alivyosema watakaomsumbua ni walioko ndani ya CCM na si upinzani? Kipya kipi?
Inasikitisha mno kwa upinzani kuishiwa kabisa hoja na sera za kutukomboa wananchi.
Tunafaidika nini sisi wananchi kwa kutukanana wana CCM? Taifa letu litapataje maendeleo kwa kujadili matusi wanayotukanana wana CCM?
Kwani kuna jipya lipi alilolisema Paul Makonda kuhusu kuzodoana kwa wana CCM?
Hatukumbuki Kikwete alivyosema wana CCM hawaachiani maji ya kunywa?
Hatukumbuki sumu aliyowekewa Mwakyembe na wana CCM wenzake?
Hatukumbuki jinsi Phillip Mangula alivyoponea chupuchupu kufa kwa kuwekewa sumu alipokuwa kwenye kikao cha CCM?
Hatukumbuki matusi ya Kinana, Nape na Makamba kwa Hayati Magufuli?
Hatukumbuki Rais Samia alivyosema watakaomsumbua ni walioko ndani ya CCM na si upinzani? Kipya kipi?
Inasikitisha mno kwa upinzani kuishiwa kabisa hoja na sera za kutukomboa wananchi.