ksny
JF-Expert Member
- Mar 30, 2016
- 1,704
- 1,694
SUKUMA GANG VS MSOGA GANG/CHAGGA GANG🤣🤣🤣🤣 Nani aangaike na kumchafua mtu ambaye alishajichafua mwenywe?? SUKUMA GANG vumilieni tu kwani mtu hupata kile alichokipanda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SUKUMA GANG VS MSOGA GANG/CHAGGA GANG🤣🤣🤣🤣 Nani aangaike na kumchafua mtu ambaye alishajichafua mwenywe?? SUKUMA GANG vumilieni tu kwani mtu hupata kile alichokipanda
kuna kajikaratasi kokote ka ushahidi kidogo ?Hii ni shariti kubwa kabisa na lenye nguvu kabisa katika serikali ya awamu ya sita ambapo upinzani kazi moja waliyopewa ni kusifia maridhiano huku wakichafua uongozi wote wa JPM.
Tayari maelekezo hayo yameshaanza kufanyiwa kazi katika mkutano wa chadema uliofanyika jijini Mwanza. Hata ACT-Wazalendo wameelekezwa hivo ingawa siyo wote wanaokubali shariti hilo la mikutano ya siasa hata CUF na wao wamepewa maelekezo hayo lakini miongoni mwao wanapinga maelekezo hayo kwa kuwa kazi za JPM zinaonekana kwa wananchi.
Upinzani kama wamechukuwa kama agenda yao kuu ya kutukana uongozi uliopita wa JPM wajue kuwa wapo ambao hawatawaelewa labda wavuta bhangi ambao hawafatilii mambo ya nchi.
Nawatakiwa jumapili njema.
Wanaotukana uongozi uliopita ni Ccm na chawa wao, upinzani hawafanyi huo uhuni.Upinzani kama wamechukuwa kama agenda yao kuu ya kutukana uongozi uliopita wa JPM wajue kuwa wapo ambao hawatawaelewa labda wavuta bhangi ambao hawafatilii mambo ya nchi.
Mnyika na Lissu ni watu smart. Kama Mbowe amevuta mpunga basi kabla ya 2025, either yeye atoke au wao wataondoka.Mbona Mnyika hajamzungumzia Kabisa?
U may be right,Hii ni shariti kubwa kabisa na lenye nguvu kabisa katika serikali ya awamu ya sita ambapo upinzani kazi moja waliyopewa ni kusifia maridhiano huku wakichafua uongozi wote wa JPM.
Tayari maelekezo hayo yameshaanza kufanyiwa kazi katika mkutano wa chadema uliofanyika jijini Mwanza. Hata ACT-Wazalendo wameelekezwa hivo ingawa siyo wote wanaokubali shariti hilo la mikutano ya siasa hata CUF na wao wamepewa maelekezo hayo lakini miongoni mwao wanapinga maelekezo hayo kwa kuwa kazi za JPM zinaonekana kwa wananchi.
Upinzani kama wamechukuwa kama agenda yao kuu ya kutukana uongozi uliopita wa JPM wajue kuwa wapo ambao hawatawaelewa labda wavuta bhangi ambao hawafatilii mambo ya nchi.
Nawatakiwa jumapili njema.