Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
unadhani ni zipi hasa sababu za msingi za kutokukubalika na kuaminika kwa upinzani vijijini?
kwa ujumla wanapuuzwa sana vijijini, kwa mfano jimboni kwangu hawapo kabisa.
sidhani kama wanaweza kupata hata mwenyekiti moja wa kijiji. .
aliwahi kuwapo shoe shiner moja hapa ambae ndie alikua kiongozi wao, lakini hivi sasa amerejea nyumbani kuunga mkono juhudi za Dr Samia Suluhu Hassan,
dah 🐒
kwa ujumla wanapuuzwa sana vijijini, kwa mfano jimboni kwangu hawapo kabisa.
sidhani kama wanaweza kupata hata mwenyekiti moja wa kijiji. .
aliwahi kuwapo shoe shiner moja hapa ambae ndie alikua kiongozi wao, lakini hivi sasa amerejea nyumbani kuunga mkono juhudi za Dr Samia Suluhu Hassan,
dah 🐒