Shida ilianzia pale lisu alivyokuwa anamtukana mama kipenzi cha watu ndo wakawapuuza kabisa. Mama karudisha soko la mbaazi, korosho nk lililopotea enzi za jpm.unadhani ni zipi hasa sababu za msingi za kutokukubalika na kuaminika kwa upinzani vijijini?
kwa ujumla wanapuuzwa sana vijijini, kwa mfano jimboni kwangu hawapo kabisa.
sidhani kama wanaweza kupata hata mwenyekiti moja wa kijiji. .
aliwahi kuwapo shoe shiner moja hapa ambae ndie alikua kiongozi wao, lakini hivi sasa amerejea nyumbani kuunga mkono juhudi za Dr Samia Suluhu Hassan,
dah π
shogawewe unaweza ujinga tuuunadhani ni zipi hasa sababu za msingi za kutokukubalika na kuaminika kwa upinzani vijijini?
kwa ujumla wanapuuzwa sana vijijini, kwa mfano jimboni kwangu hawapo kabisa.
sidhani kama wanaweza kupata hata mwenyekiti moja wa kijiji. .
aliwahi kuwapo shoe shiner moja hapa ambae ndie alikua kiongozi wao, lakini hivi sasa amerejea nyumbani kuunga mkono juhudi za Dr Samia Suluhu Hassan,
dah π
Ukweli ukiwekwa mezani jitahidi kua na heshima, mihemko, ghadhabu na matusi havisaidii kitu πshogawewe unaweza ujinga tuu
ninalo jukumu kubwa zito na muhimu sana la wanainchi huku jimboni na katika chama,View attachment 3046973
KWA MWENDO HUU HUYU LAZIMA HAKUPE UKUU WA WILAYA
Jimboni kwako ni wapi?!kwa mfano jimboni kwangu hawapo kabisa.
weebwege tuuUkweli ukiwekwa mezani jitahidi kua na heshima, mihemko, ghadhabu na matusi havisaidii kitu π
ninalo jukumu kubwa zito na muhimu sana la wanainchi huku jimboni na katika chama,
uniwaziali si muhimu sana, wengine wanaweza kufanya π
Haiwezikani kwamba umeshatembelea vijiji vyote Tanzania. Bila shaka umepita baadhi ya vijiji tu, ambavyo havikupi uhalali wa kudai hivyo unavyosema. Mfano, kijijini kwetu hujawahi kufika, utawezaje kujua wanakijiji huku wanaunga mkono chama gani?unadhani ni zipi hasa sababu za msingi za kutokukubalika na kuaminika kwa upinzani vijijini?
kwa ujumla wanapuuzwa sana vijijini, kwa mfano jimboni kwangu hawapo kabisa.
sidhani kama wanaweza kupata hata mwenyekiti moja wa kijiji. .
aliwahi kuwapo shoe shiner moja hapa ambae ndie alikua kiongozi wao, lakini hivi sasa amerejea nyumbani kuunga mkono juhudi za Dr Samia Suluhu Hassan,
dah π
upinzani uko wapi sasa?View attachment 3047130
CCM Vijijini
Endelea kujidanganya tu! Ila usidanganye wengineunadhani ni zipi hasa sababu za msingi za kutokukubalika na kuaminika kwa upinzani vijijini?
kwa ujumla wanapuuzwa sana vijijini, kwa mfano jimboni kwangu hawapo kabisa.
sidhani kama wanaweza kupata hata mwenyekiti moja wa kijiji. .
aliwahi kuwapo shoe shiner moja hapa ambae ndie alikua kiongozi wao, lakini hivi sasa amerejea nyumbani kuunga mkono juhudi za Dr Samia Suluhu Hassan,
dah π
kosa lilikuwa kumtukana Magufuli bila kuangalia audianceShida ilianzia pale lisu alivyokuwa anamtukana mama kipenzi cha watu ndo wakawapuuza kabisa. Mama karudisha soko la mbaazi, korosho nk lililopotea enzi za jpm.
No. Magufuli alipaswa atukanwe sana mana alizuia mikutano yote kinyume na katiba aliyoapiswa kwayo. Aliapa kwa katiba lakini akaichana chana.kosa lilikuwa kumtukana Magufuli bila kuangalia audiance