Dong Jin
JF-Expert Member
- Jun 4, 2018
- 968
- 2,034
Habarini
Katika kutafakari tutafikaje 28 october, likanijia hili wazo tena fikra za kuanzia at family level
Kwenye familia, vikao vya kifamilia vikikaa yule mwenye uafadhali kimaisha ndie mara nyingi anakuwa anasikilizwa na kupewa majukumu ya kiuongozi the same as katika ukoo
Kwenye ubunge, mimi leo hii nikisimama na Abood pale Moro Mjini nina uhakika hata niteme cheche zinazounguza kama moto wa jehanamu sidhani kama wananchi watanielewa..! Zaidi zaid wataniita mchumia tumbo! Wenye nacho ndio huongezewa na kupewa zaidi
Kulingana na hayo mawazo nikaja kulinganisha na vyama vyetu hapa nchini... Tukianza tangu mwaka 1992 mfumo wa vyama vingi uanze ni chama kimoja tu ndo kinashikilia hatamu. Nilipojiuliza kwani upinzani hawawezi?
Nikahusianisha na mifano ya hapo juu na kukichukua chama kikuu cha upinzani, CHADEMA kama mfano tokea uhuru mpaka leo hawana jengo lao kama makao makuu bali wamepanga tu.. Na hakuna hata mradi wao mmoja tu unaofahamika!
Je, ukiwapa nchi si ndo watageuka kuwa wachumia tumbo?
NI HAYO
Katika kutafakari tutafikaje 28 october, likanijia hili wazo tena fikra za kuanzia at family level
Kwenye familia, vikao vya kifamilia vikikaa yule mwenye uafadhali kimaisha ndie mara nyingi anakuwa anasikilizwa na kupewa majukumu ya kiuongozi the same as katika ukoo
Kwenye ubunge, mimi leo hii nikisimama na Abood pale Moro Mjini nina uhakika hata niteme cheche zinazounguza kama moto wa jehanamu sidhani kama wananchi watanielewa..! Zaidi zaid wataniita mchumia tumbo! Wenye nacho ndio huongezewa na kupewa zaidi
Kulingana na hayo mawazo nikaja kulinganisha na vyama vyetu hapa nchini... Tukianza tangu mwaka 1992 mfumo wa vyama vingi uanze ni chama kimoja tu ndo kinashikilia hatamu. Nilipojiuliza kwani upinzani hawawezi?
Nikahusianisha na mifano ya hapo juu na kukichukua chama kikuu cha upinzani, CHADEMA kama mfano tokea uhuru mpaka leo hawana jengo lao kama makao makuu bali wamepanga tu.. Na hakuna hata mradi wao mmoja tu unaofahamika!
Je, ukiwapa nchi si ndo watageuka kuwa wachumia tumbo?
NI HAYO