Upinzani katiba nchi hii hatuwafichi sasa dawa ina chemka

Upinzani katiba nchi hii hatuwafichi sasa dawa ina chemka

Emma M Bai

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2019
Posts
223
Reaction score
126
Naongea kwa msisitizo sasa dawa ina chemka sasa ni wakati mwafaka wa kuwa na chama kimoja tu.Narudia dawa inachemka

Tumechoka makelela na majukwaa yasiyokuwa na tija kwa taifa.

Wanawake mliokuwa mnasomeshwa afu mnaingia mitini dawa imepatikana nadhani mmeona mifano hai

Mnaotumiwa pesa mpaka ya kutolea afu hamji tunaiandaa ni busara mkajirekebisha tu sabu dawa yenu inaweza kuwa kali zaidi ya hiyo mnayoishuhudia mwenye akili ameelewa

Upinzani dawa inachemka sasa ni muda wa kuanza kujisahihisha ikishushwa jikoni hatutaki lawama na mtu acha kujitoa ufahamu
 
Naongea kwa msisitizo sasa dawa ina chemka sasa ni wakati mwafaka wa kuwa na chama kimoja tu.Narudia dawa inachemka

Tumechoka makelela na majukwaa yasiyokuwa na tija kwa taifa.

Wanawake mliokuwa mnasomeshwa afu mnaingia mitini dawa imepatikana nadhani mmeona mifano hai

Mnaotumiwa pesa mpaka ya kutolea afu hamji tunaiandaa ni busara mkajirekebisha tu sabu dawa yenu inaweza kuwa kali zaidi ya hiyo mnayoishuhudia mwenye akili ameelewa

Upinzani dawa inachemka sasa ni muda wa kuanza kujisahihisha ikishushwa jikoni hatutaki lawama na mtu acha kujitoa ufahamu
Endelea kuchemsha dawa,angalia tu usiinywe mwenyewe
 
Naongea kwa msisitizo sasa dawa ina chemka sasa ni wakati mwafaka wa kuwa na chama kimoja tu.Narudia dawa inachemka

Tumechoka makelela na majukwaa yasiyokuwa na tija kwa taifa.

Wanawake mliokuwa mnasomeshwa afu mnaingia mitini dawa imepatikana nadhani mmeona mifano hai

Mnaotumiwa pesa mpaka ya kutolea afu hamji tunaiandaa ni busara mkajirekebisha tu sabu dawa yenu inaweza kuwa kali zaidi ya hiyo mnayoishuhudia mwenye akili ameelewa

Upinzani dawa inachemka sasa ni muda wa kuanza kujisahihisha ikishushwa jikoni hatutaki lawama na mtu acha kujitoa ufahamu

Aisee...mimi ku click huu uzima ni part of this problem!

You brother,you belong to Mirembe!

Chama kimoja kinaletwa kwa Bunge kubadili katiba kidemkrasia tuwe na Chama Kimoja!

Kila mtu anataka hicho,itatusaidia tufanye mambo mengine kuliko huu usenge mnaoufanya na serikali yenu
 
Aisee...mimi ku click huu uzima ni part of this problem!

You brother,you belong to Mirembe!

Chama kimoja kinaletwa kwa Bunge kubadili katiba kidemkrasia tuwe na Chama Kimoja!

Kila mtu anataka hicho,itatusaidia tufanye mambo mengine kuliko huu usenge mnaoufanya na serikali yenu
Acha kujifanya mhimili

Bwana yule itabid aongoze mpaka mwenyezi mungu atakapo mchukua katiba c makaratasi

Tumeamua nchi iende na itaenda kwa machozi na damu

Maendeleo Tanzania ilikuwa shamba la bibi wakwere wanapishana tu sasa marafiki

Kuwa smart brother , vibaraka wa mabeberu utawajua tu
 
Umeandika utumbo kama jinsi ulivyo.
 
Aisee...mimi ku click huu uzima ni part of this problem!

You brother,you belong to Mirembe!

Chama kimoja kinaletwa kwa Bunge kubadili katiba kidemkrasia tuwe na Chama Kimoja!

Kila mtu anataka hicho,itatusaidia tufanye mambo mengine kuliko huu usenge mnaoufanya na serikali yenu
Acha kujifanya mhimili

Bwana yule itabid aongoze mpaka mwenyezi mungu atakapo mchukua katiba c makaratasi

Tumeamua nchi iende na itaenda kwa machozi na damu

Maendeleo Tanzania ilikuwa shamba la bibi wakwere wanapishana tu sasa marafiki

Kuwa smart brother , vibaraka wa mabeberu utawajua tu
 
Acha kujifanya mhimili

Bwana yule itabid aongoze mpaka mwenyezi mungu atakapo mchukua katiba c makaratasi

Tumeamua nchi iende na itaenda kwa machozi na damu

Maendeleo Tanzania ilikuwa shamba la bibi wakwere wanapishana tu sasa marafiki

Kuwa smart brother , vibaraka wa mabeberu utawajua tu

Kati ya wanadamu milioni 60 humu nchini,mawe akimaliza muda wake hakuna wa kuweza kuendeleza pale alipoachia?

Na wewe hoja yako yeye aendelee ni ipi hasa?

Is he some super human zaidi ya wanadamu wengine?

Ukiangalia kwa makini huna hoja ya kuhalalisha unachosema,ni hoja za kitoto tu unatoa!

Katiba ni makaratasi?Hivi wewe ni mwehu?

Kuna topic nzima Olevel kuhusu Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!

Ulisoma na ukafaulu halafu leo ulivyo shiba mavi unasema “Katiba si makaratasi tu”!

Mpaka mtu mzima mwenye mvi mpaka matakoni unasema Katiba ni makaratasi hata hujui unachokifanya kwenye hii dunia!

Katiba ni Mkataba kati ya Wananchi na Watawala,ndio supreme law of the land,halafu wewe unasema si makaratsi tu!

Wewe na mawe ni wehu,aombe Mungu atakae kuja baada yake asiwe kichaa kupitiliza akamnyonga hadharani kwa kuvunja katiba kipindi anatawala!

Athari za kuvunja katiba unazijua?Pitia hotuba za Nyerere utaona anachosema huenda ukajifunza!
 
Acha kujifanya mhimili

Bwana yule itabid aongoze mpaka mwenyezi mungu atakapo mchukua katiba c makaratasi

Tumeamua nchi iende na itaenda kwa machozi na damu

Maendeleo Tanzania ilikuwa shamba la bibi wakwere wanapishana tu sasa marafiki

Kuwa smart brother , vibaraka wa mabeberu utawajua tu

Kudai demokrasia ni kua kibaraka wa mabeberu?

Demokrasia siku hizi ni kitu kibaya?

Kitu kizuri ni totalitarian regime?

Mimi sio mhimili,unajua maana ya mhimili au unabwabwaja tu?

Mabeberu?
IMG_1603.JPG


Hao hapo mabeberu Mawe anawapigia magoti!

Mimi na mawe nani mlamba matako mabeberu?
 
Kudai demokrasia ni kua kibaraka wa mabeberu?

Demokrasia siku hizi ni kitu kibaya?

Kitu kizuri ni totalitarian regime?

Mimi sio mhimili,unajua maana ya mhimili au unabwabwaja tu?

Mabeberu?
View attachment 1258652

Hao hapo mabeberu Mawe anawapigia magoti!

Mimi na mawe nani mlamba matako mabeberu?
me cyo mwanasiasa wa chama chochote ila nimpenda maendeleo kuhusu democracy ni ipi ambayo unaitaka na kip unakosa
 
Kudai demokrasia ni kua kibaraka wa mabeberu?

Demokrasia siku hizi ni kitu kibaya?

Kitu kizuri ni totalitarian regime?

Mimi sio mhimili,unajua maana ya mhimili au unabwabwaja tu?

Mabeberu?
View attachment 1258652

Hao hapo mabeberu Mawe anawapigia magoti!

Mimi na mawe nani mlamba matako mabeberu?
kingine usiamn sana magazet Anglia nchi nini kinafanyika
 
Naongea kwa msisitizo sasa dawa ina chemka sasa ni wakati mwafaka wa kuwa na chama kimoja tu.Narudia dawa inachemka

Tumechoka makelela na majukwaa yasiyokuwa na tija kwa taifa.

Wanawake mliokuwa mnasomeshwa afu mnaingia mitini dawa imepatikana nadhani mmeona mifano hai

Mnaotumiwa pesa mpaka ya kutolea afu hamji tunaiandaa ni busara mkajirekebisha tu sabu dawa yenu inaweza kuwa kali zaidi ya hiyo mnayoishuhudia mwenye akili ameelewa

Upinzani dawa inachemka sasa ni muda wa kuanza kujisahihisha ikishushwa jikoni hatutaki lawama na mtu acha kujitoa ufahamu

Hapo ulipo u mpinzani. Dawa ikiiva uanze wewe kuinywa.
 
me cyo mwanasiasa wa chama chochote ila nimpenda maendeleo kuhusu democracy ni ipi ambayo unaitaka na kip unakosa

Tangu lini maendeleo yakawa juu ya demokrasia?

Democracy and Development go hand in hand!

Hii umesoma darasani na mtihani ukafanya!

Nini nimekosa?

Aisee,uhuru wangu wa kufanya siasa na kujieleza,na watu wanauawa kila siku nimepoteza!

Naomba mturudishie!

Wote waliouawa warudi na haki za binadamu zirudi!

Usenge mwingine wekeni matako mwenu huko hautuhusu!

Uwe au usiwe mwanachama wa chama cha siasa nobody cares!

Upo hapa unatetea matako ya bwana mawe then upo kundi moja na maccm wote,we dont care who you are!
 
Back
Top Bottom