Upinzani kwa ujumla tunamuhitaji sana Halima Mdee. Msiwalaumu wao, wa kulaumiwa ni Hayati Magufuli

Upinzani kwa ujumla tunamuhitaji sana Halima Mdee. Msiwalaumu wao, wa kulaumiwa ni Hayati Magufuli

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
1723077398279.jpeg

Upinzani kwa ujumla tunamuhitaji sana Halima Mdee msiwalaumu Covid-19 wa kulaumiwa ni JPM

Kiukweli, pamoja na yalotokea still upinzani tunamuhitaji mtu kama Halima Mdee

Halima Mdee ni asset muhimu kwa nchi yetu

Najua mCCM mnammezea mate sana lakini mtamuota sana huyu mtamuota sana na hawezi kwenda CCM

Chanzo cha yote hayo ni Magufuli, yule alipora ushindi wa majimbo yote ya Upinzani akamaliza akawagawa viongozi wa upinzani kwa kuwatisha na kuwablackmail

Mdee na wenzake walikosea ndio ila tunawahitaji sana upinzani
 
Upinzani wa Tanzania ni hovyo saana.

Mshaanza kuwapigia debe tena na juzi mlikuwa mnawapiga mawe.
 
Upinzani kwa ujumla tunamuhitaji sana Halima Mdee msiwalaumu Covid-19 wa kulaumiwa ni JPM

Kiukweli, pamoja na yalotokea still upinzani tunamuhitaji mtu kama Halima Mdee

Halima Mdee ni asset muhimu kwa nchi yetu

Najua CCM mnammezea mate sana lakini mtamuota sana huyu mtamuota sana na hawezi kwenda CCM

Chanzo cha yote hayo ni Magufuli, yule alipora ushindi wa majimbo yote ya Upinzani akamaliza akawagawa viongozi wa upinzani kwa kuwatisha na kuwablackmail

Mdee na wenzake walikosea ndio ila tunawahitaji sana upinzani
Unaboa kila uzi Magufuli! Hangaika na Hamas yako
 
Mtafutieni Chama, Chadema kishapoteza nafasi yake, kwanza kishatosheka, Hela ya Usaliti aliyolipwa na Jiwe tukiiweka hapa inaweza kuongeza chuki kubwa sana miongoni mwa wananchi, hela ile ilikuwa kufuru
 
Upinzani wa Tanzania ni hovyo saana.

Mshaanza kuwapigia debe tena na juzi mlikuwa mnawapiga mawe.
Kwenye siasa hakuna adui wa kudumu, mwaka 2025 Mh SSH atagombea urais kupitia chadema na mgombea mwenza atakuwa aikaeli freeman Mbowe, huku tundu lisu akigombea ubunge ili aje kuwa waziri mkuu.
 
Nimeanza kuziona dalili za wale wanawake 19 wote kurudishwa Chadema, dalili zenyewe zipo wazi kuanzia kwa kauli za baadhi ya viongozi, mpaka kwa watu wa sampuli ya mleta mada.

Baadhi ya wale wanawake kuwa na waume zao uongozini mpaka leo Chadema, ni dalili kubwa ya kwanza.
 
Nimeanza kuziona dalili za wale wanawake 19 wote kurudishwa Chadema, dalili zenyewe zipo wazi kuanzia kwa kauli za baadhi ya viongozi, mpaka kwa watu wa sampuli ya mleta mada.

Baadhi ya wale wanawake kuwa na waume zao uongozini mpaka leo Chadema, ni dalili kubwa ya kwanza.

..wakina mama 19 watafutiwe chama kingine cha upinzani.

..kuwarudisha Chadema kutawavunja moyo waliounga mkono chama dhidi ya hao 19.
 
Nimeanza kuziona dalili za wale wanawake 19 wote kurudishwa Chadema, dalili zenyewe zipo wazi kuanzia kwa kauli za baadhi ya viongozi, mpaka kwa watu wa sampuli ya mleta mada.

Baadhi ya wale wanawake kuwa na waume zao uongozini mpaka leo Chadema, ni dalili kubwa ya kwanza.
Hakuna kitu Kama hicho. Huwezi kurudisha watu ambayo tayari wameshafukuzwa na kamati kuu na Baraza na pia wameshaenda mahakamani kupinga maamuzi ya chama.
 
Upinzani kwa ujumla tunamuhitaji sana Halima Mdee msiwalaumu Covid-19 wa kulaumiwa ni JPM

Kiukweli, pamoja na yalotokea still upinzani tunamuhitaji mtu kama Halima Mdee

Halima Mdee ni asset muhimu kwa nchi yetu

Najua CCM mnammezea mate sana lakini mtamuota sana huyu mtamuota sana na hawezi kwenda CCM

Chanzo cha yote hayo ni Magufuli, yule ibilisi alipora ushindi wa majimbo yote ya Upinzani akamaliza akawagawa viongozi wa upinzani kwa kuwatisha na kuwablackmail

Mdee na wenzake walikosea ndio ila tunawahitaji sana upinzani
Huyo Halima alikuwa na shida gani ya kimaisha hadi akubali kutumika kufunika ubaya wa JPM Watu wanaoendekeza matumbo yao ni hatari na hawapaswi kuaminiwa. Nitawapuuza sana Chadema kama watawarejesha akina Halima na genge lake.
 
Mtafutieni Chama, Chadema kishapoteza nafasi yake, kwanza kishatosheka, Hela ya Usaliti aliyolipwa na Jiwe tukiiweka hapa inaweza kuongeza chuki kubwa sana miongoni mwa wananchi, hela ile ilikuwa kufuru
Big No
 
Huyo Halima alikuwa na shida gani ya kimaisha hadi akubali kutumika kufunika ubaya wa JPM? Watu wanaoendekeza matumbo yao ni hatari na hawapaswi kuaminiwa. Nitawapuuza sana Chadema kama watawarejesha akina Halima na genge lake.
Hakua na shida ishu jiwe aliwablackmail hawa wanawake
 
Hakua na shida ishu jiwe aliwablackmail hawa wanawake
Basi watakula jeuri yao, maana jiwe alifariki miezi mitano baada ya uchaguzi ule, mbona hawakuachana na huo ubunge badala yake wakaenda mahakamani?
 
Huyo Halima alikuwa na shida gani ya kimaisha hadi akubali kutumika kufunika ubaya wa JPM? Watu wanaoendekeza matumbo yao ni hatari na hawapaswi kuaminiwa. Nitawapuuza sana Chadema kama watawarejesha akina Halima na genge lake.
Labda matumbo yao yalikua na chango/kiherehere cha uzazi.
 

Upinzani kwa ujumla tunamuhitaji sana Halima Mdee msiwalaumu Covid-19 wa kulaumiwa ni JPM

Kiukweli, pamoja na yalotokea still upinzani tunamuhitaji mtu kama Halima Mdee

Halima Mdee ni asset muhimu kwa nchi yetu

Najua CCM mnammezea mate sana lakini mtamuota sana huyu mtamuota sana na hawezi kwenda CCM

Chanzo cha yote hayo ni Magufuli, yule alipora ushindi wa majimbo yote ya Upinzani akamaliza akawagawa viongozi wa upinzani kwa kuwatisha na kuwablackmail

Mdee na wenzake walikosea ndio ila tunawahitaji sana upinzani
Mimi nadhani umemtamani tu kwenye hiyo picha !
 
Hakua na shida ishu jiwe aliwablackmail hawa wanawake
Jiwe mtamlaumu bure, lakini issue ilikuwa ndani ya chadema yenyewe. Kuna viongozi walianza kuwagawia mahawala zao nafasi za ubunge wa viti maalumu, Halima akiwa mwenyekiti wa bawacha akapinga, akasema bawacha ihusishwe kwenye uteuzi wa viti maalumu. Bawacha ikatoka na orodha yake, na wale viongozi nao wakatoka na orodha yao: Mwenyechama akaside upande wa Halima. Wale viongozi wengine wakafura kama wamekunywa chai ya hamira!
 
Back
Top Bottom