Magufuli alimuacha huyu dogo na mimba.Unaboa kila uzi Magufuli! Hangaika na Hamas yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli alimuacha huyu dogo na mimba.Unaboa kila uzi Magufuli! Hangaika na Hamas yako
Atajifungua siku akifufuka! Kwa vile hatafufuka, hiyo mimba itamsumbua hadi kaburiniMagufuli alimuacha huyu dogo na mimba.
Aisome Erythrocyte kwa utulivu
Upinzani kwa ujumla tunamuhitaji sana Halima Mdee msiwalaumu Covid-19 wa kulaumiwa ni JPM
Kiukweli, pamoja na yalotokea still upinzani tunamuhitaji mtu kama Halima Mdee
Halima Mdee ni asset muhimu kwa nchi yetu
Najua mCCM mnammezea mate sana lakini mtamuota sana huyu mtamuota sana na hawezi kwenda CCM
Chanzo cha yote hayo ni Magufuli, yule alipora ushindi wa majimbo yote ya Upinzani akamaliza akawagawa viongozi wa upinzani kwa kuwatisha na kuwablackmail
Mdee na wenzake walikosea ndio ila tunawahitaji sana upinzani
Jiweke kwenye viatu vyao halafu niambie ungefanyaje. Jifanye wewe ni Nusrat Henje, umetumikia kifungo rumande bila hatia kwa siku 120, halafu siku moja milango ya gereza inafunguliwa unaambiwa utoke. Kisha uende mahali ukaapishwe kuwa mbunge wa viti maalum.Huyo Halima alikuwa na shida gani ya kimaisha hadi akubali kutumika kufunika ubaya wa JPM Watu wanaoendekeza matumbo yao ni hatari na hawapaswi kuaminiwa. Nitawapuuza sana Chadema kama watawarejesha akina Halima na genge lake.
Chadema wawasamehe COVID-19 Sasa.
Upinzani kwa ujumla tunamuhitaji sana Halima Mdee msiwalaumu Covid-19 wa kulaumiwa ni JPM
Kiukweli, pamoja na yalotokea still upinzani tunamuhitaji mtu kama Halima Mdee
Halima Mdee ni asset muhimu kwa nchi yetu
Najua mCCM mnammezea mate sana lakini mtamuota sana huyu mtamuota sana na hawezi kwenda CCM
Chanzo cha yote hayo ni Magufuli, yule alipora ushindi wa majimbo yote ya Upinzani akamaliza akawagawa viongozi wa upinzani kwa kuwatisha na kuwablackmail
Mdee na wenzake walikosea ndio ila tunawahitaji sana upinzani
DuuuhJiwe mtamlaumu bure, lakini issue ilikuwa ndani ya chadema yenyewe. Kuna viongozi walianza kuwagawia mahawala zao nafasi za ubunge wa viti maalumu, Halima akiwa mwenyekiti wa bawacha akapinga, akasema bawacha ihusishwe kwenye uteuzi wa viti maalumu. Bawacha ikatoka na orodha yake, na wale viongozi nao wakatoka na orodha yao: Mwenyechama akaside upande wa Halima. Wale viongozi wengine wakafura kama wamekunywa chai ya hamira!
Kabisa!!Jiweke kwenye viatu vyao halafu niambie ungefanyaje. Jifanye wewe ni Nusrat Henje, umetumikia kifungo rumande bila hatia kwa siku 120, halafu siku moja milango ya gereza inafunguliwa unaambiwa utoke. Kisha uende mahali ukaapishwe kuwa mbunge wa viti maalum.
Je ungeng'ang'ania kubaki rumande?.
Mambo ya mwaka 2020 yalikuwa ni ajali kwa watanzania wote kutokana na lile DUBWASHA tulilolizika Chato. Hakuna mwenye kosa kati ya hao 19. Huo ukurasa unfungwe TUJIPANGE UPYA na hawa akina Halima
Mshukuru mungu kakujalia vijiakili vya kuchambia ....rais mzalendo alaumiwe kwa lipi HAKI NI ZAIDI YA MAENDELEO NA MAENDELEO NI ZAIDI YA DEMOKRASI NA DEMOKRASI NI ZAIDI YA SIASA ...
Upinzani kwa ujumla tunamuhitaji sana Halima Mdee msiwalaumu Covid-19 wa kulaumiwa ni JPM
Kiukweli, pamoja na yalotokea still upinzani tunamuhitaji mtu kama Halima Mdee
Halima Mdee ni asset muhimu kwa nchi yetu
Najua mCCM mnammezea mate sana lakini mtamuota sana huyu mtamuota sana na hawezi kwenda CCM
Chanzo cha yote hayo ni Magufuli, yule alipora ushindi wa majimbo yote ya Upinzani akamaliza akawagawa viongozi wa upinzani kwa kuwatisha na kuwablackmail
Mdee na wenzake walikosea ndio ila tunawahitaji sana upinzani
Comment yako iwe laminated. Nami naungana nawe. Ni uwendawazimu kumsafisha msaliti.Bila kua na msimamo, utaua vyama bure, Halima ni hatare kuliko hata CCM.
Hao wakirudi CHADEMA inakufa
Nkurunzinza ndio nani??Kwani Nkulunziza anasema je?
Hii ndio kauli yetu barikiwa ErythrocyteMtafutieni Chama, Chadema kishapoteza nafasi yake, kwanza kishatosheka, Hela ya Usaliti aliyolipwa na Jiwe tukiiweka hapa inaweza kuongeza chuki kubwa sana miongoni mwa wananchi, hela ile ilikuwa kufuru
..wakina mama 19 watafutiwe chama kingine cha upinzani.
..kuwarudisha Chadema kutawavunja moyo waliounga mkono chama dhidi ya hao 19.
Kwenye siasa, hakuna urafiki wa kudumu wala uadui wa kudumu, maslahi ndio yakudumu, only a common interest, dini zote zinatufundisha samehe 7 x 70!.Nitawapuuza sana Chadema kama watawarejesha akina Halima na genge lake.
Jiweke kwenye viatu vyao halafu niambie ungefanyaje. Jifanye wewe ni Nusrat Henje, umetumikia kifungo rumande bila hatia kwa siku 120, halafu siku moja milango ya gereza inafunguliwa unaambiwa utoke. Kisha uende mahali ukaapishwe kuwa mbunge wa viti maalum.
Je ungeng'ang'ania kubaki rumande?.
Mambo ya mwaka 2020 yalikuwa ni ajali kwa watanzania wote kutokana na lile DUBWASHA tulilolizika Chato. Hakuna mwenye kosa kati ya hao 19. Huo ukurasa ufungwe TUJIPANGE UPYA na hawa akina Halima