Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Maza hata akishindana na Aisha Manula Manula anashinda mapema sn, hakuna mtu anamtaka zaidi ya mafisadi ya mali za ummaMgombea anayeota vyama vya upinzani visisimamishe wagombea, anayeota chama chake kitoe fomu Moja yake pekee, ni mgombea dhaifu na duni, asiyejuamini.
Ndio maana nasema, chama Cha mambuzi kitakuja na mgombea atakayeweza kushindana na upinzani Imara.
Bado hesabu za kisiasa zinasema HATOGOMBEA!!
Poa dada angusawa naibu katibu mkuu BAWACHA kanda ya kaskazini π
Sasa si mtoa form zaidi ya mojamnapeana matumaini na kupotoshana kinyonge sana gentlemen π€£
UWT mmeanza kampeni mapema snImebainika na kuonekana kwamba, ingependeza zaidi wale wengine wa kukatwa waende tu moja kwa moja kuchukua fomu ufipa ili kuepuka usumbufu wa mwishoni baadae π
kama fursa zipo na zinaonekana kwanini kuficha?Wizara ya Elimu acheni kuwa madalali wa Scholarship za Ubalozi
Jana nilipata nafasi ya kukutana na Kiongozi mmoja wa Ubalozi wa New Zealand nchini Tanzania, tulipata wasaha wa kula chakula cha jioni yeye pamoja na familia yake. Tulikuwa kwenye hoteli moja maarufu sana haa Dar es Salaam, na baada ya kupata chakula tulizungumza mambo mengi na kupiga stori...www.jamiiforums.com
respect each other? Ooops, respect? with all false and stupid allegations? Ok notedinspite all the weaknesses that opposition has in Tz politics, we must respect each other, and if you feel tired, and you don't have new or alternative ideas concerning the motion on the flow,
Nyie akina mama wa CCM ni wachapakazi snBAWACHA mmekosa uelekeo kabisa dah, Mzee kibezi kumbe alikua anawaweza sana mama Ima? π
wewe ndio unayehubiri respect? Tuache unafikiBAWACHA mmekosa uelekeo kabisa dah, Mzee kibezi kumbe alikua anawaweza sana mama Ima? π
Hali unaiona hivyo kutokana na matatizo yako ya akili. Kwa hiyo swali lako halina mantiki. Labda ungeuliza kuwa kwa nini wewe binafsi unaona hali ipo hivyo unavyoona? Na jibu ndiyo hilo, ni kutokana na tatizo lako la afya ya akili ndiyo maana unayaona hata yasiyokuwepo. Na hiyo hali ni ya kawaida kwa watu wenye shida ya afya ya akili.Ni bayana,
Upinzani nchini mpaka sasa hawana ngome wala uhakika wa mahali au eneo la uchaguzi ambalo wanaweza kishinda hata kiti kimoja tu kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa baadae mwaka huu, na ule wa diwani au mbunge kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka ujao...
Kwenye nafasi ya Urais upinzani ni wanyonge na wadhaifu mno, hakuna haja ya kueleza sana mambo ambayo ni wazi yanaonekana mchana kweupe...
Hata hivyo,
Inafurahisha sana kuona kwamba, wapinzani wote katika ujumla , umoja na migawanyiko yao, katika hili la uchaguzi mkuu ujao, kwenye nafasi ya Rais watamuunga mkono Dr. Samia Suluhu Hassan endapo ataridhia ombi lao na matarajio ya waTanzania walio wengi, kwamba aridhie kugombea urais tena Urais akamilishe ngwe ya pili ya uongozi wake, kwani Taifa katika ujumla, umoja na mshikamano wake, wananchi walio wengi zaidi wanaridhishwa na kasi yake ya maendeleo, mtindo wa uongzi wake mahiri na madhubuti, mipango mikakati yake makini na muhimu sana yenye maslahi mapana ya waTanzania wote..
Na kwa hali ya kisiasa ilivyo kwa sasa, hakuna hatari au kitisho kwa mtaa, kata au jimbo lolote la uchaguzi linaloweza kuangukia mikononi mwa upinzani dhaifu sana unaoiunga mkono serikali sikivu ya CCM...
Huu ni uzalendo wa kiwango cha juu sana kwa uhai na ustawi wa demokrasia nchini....
Unadhani,
Ni kwanini hali hii ya kutokuwa na uhakika wa ngome wala uhakika wa kushinda uchaguzi hata kiti kimoja, imewazonga sana wapinzani hasa wakati huu muhimu tunapoelekea kukamilika kwa maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu baadae mwakani?π
waerevu wa nyakati hizi bana ni kichekesho π€£Hali unaiona hivyo kutokana na matatizo yako ya akili. Kwa hiyo swali lako halina mantiki. Labda ungeuliza kuwa kwa nini wewe binafsi unaona hali ipo hivyo unavyoona? Na jibu ndiyo hilo, ni kutokana na tatizo lako la afya ya akili ndiyo maana unayaona hata yasiyokuwepo. Na hiyo hali ni ya kawaida kwa watu wenye shida ya afya ya akili.
acha kushikiwa akiliahaneni na kutegemea miujiza, ushirikina na uchawi kwenye uchaguzi ndrugu zango π
elections is a very long process.and for sure it is very expensive exercise...
there is no way wengine wako field wanafanya engagements na consultations na wananchi,
then wew uibuke mwishoni ukiamini ushirikina wako eti ushinde uchaguzi, thubutu π€£
usipanic,acha kushikiwa akili