Pre GE2025 Upinzani nchini hauna ngome wala uhakika wa kushinda hata kiti kimoja kwenye uchaguzi Serikali za Mitaa wala uchaguzi mkuu baadae mwaka ujao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Uko sahihi, maana wahesabu kura hawajali masuala ya ngome.
 
Tume huru imeletetwa kimagumashi magumashi!
ina sahihishika na inarekebishika kadiri ya matakwa na mahitaji ya wanainchi kulingana na wakati unao faa,
tuvute subra na tuwe wastahimilivu kidogo tu baada ya uchaguzi mkuu mambo yatakaa sawa πŸ’
 
Nape alimaliza kila kitu wala usiongee.
 
Wawe na uhakika wa kushinda Kwa kipi walichofanya Cha maana Kwa Wananchi wao?
 
ina sahihishika na inarekebishika kadiri ya matakwa na mahitaji ya wanainchi kulingana na wakati unao faa,
tuvute subra na tuwe wastahimilivu kidogo tu baada ya uchaguzi mkuu mambo yatakaa sawa πŸ’
Expect no better outcomes from the wrong side of the law
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…