Kuna wanaofikiria vyama vya upinzani na fikra za upinzani ni kitu kimoja. Tanzania watu wana utamaduni na fikra za kupingana na ubishi hii hakuna mtu ataweza kuiondoa.
Ilikuwepo kabla ya uhuru mpaka sasa.
Vyama vitakufa kwasababu ni taasisi zinazoweza kubanwa lakini fikra ya upinzani ni kama dini iko ndani ya watu na kamwe haitakufa.
Upinzani wa fikra sio kupinga serikali lakini kama mtu binafsi ni kupinga chochote ambacho unafikiria hakiendi vizuri.
Hakuna hata Mtanzania mmoja ambaye finger print yake inafanana na mwingine. Mungu kaumba kila mtu tofauti na yule ambaye anajifanya kila kitu mko sawa na mawazo yako yote, fikra zako zote ana support kuwa naye makini sana.
Ilikuwepo kabla ya uhuru mpaka sasa.
Vyama vitakufa kwasababu ni taasisi zinazoweza kubanwa lakini fikra ya upinzani ni kama dini iko ndani ya watu na kamwe haitakufa.
Upinzani wa fikra sio kupinga serikali lakini kama mtu binafsi ni kupinga chochote ambacho unafikiria hakiendi vizuri.
Hakuna hata Mtanzania mmoja ambaye finger print yake inafanana na mwingine. Mungu kaumba kila mtu tofauti na yule ambaye anajifanya kila kitu mko sawa na mawazo yako yote, fikra zako zote ana support kuwa naye makini sana.