Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,404
- 6,969
- Thread starter
- #21
Una uhakika hotuba ilikuwa na makosa?Kwani bado manasaka teuzi? Hotuba serious kama ile haiswi kuwa na makosa yakizembe kama vile? Na kama kulikuwa na makosa basi hadi leo hii kungeshatolewa ufafanuzi na marekebisho ili wananchi wajue takwimu halisi kukaa kimya means hakuna makosa pale na wananchi wanachulia wamedanganywa