Sio ndiyo vizuri ili tusifanyiane fujo na tugawane viti vya u ungejua n.kUkishaona serikali inakwambia eti kosoa kwa staha basi upinzani kwishney. Kukosoa siku siku zote hakuwezi kuw kwa staha huo siyo ukosoaji. Ukosoaji lazim uwe madhubuti na strong.
Msitegemee Tena madai yakatiba mpya maana huko Ni kukosoa na kuleta vurugu ambapo serikali imesema kosoa kwa staha
Hongera Mkuu!!Swali la Karne hili;+!?Wewe Katiba Unahitaji? If yes. Kwanini uitegemee kwa upinzani? Wewe kama raia role yake ni ipi? Kuwa keyboard warrior?
Nipo nawe mkuu,humu ndani tuna dot. Com wengi mno ambao wamezoeshwa kutafuniwa kila kitu, wewe mtoa hoja umetoa mchango gani katika kuimarisha upinzani nchini?kwangu ninakuona kama troop leader wa keyboard teamWewe Katiba Unahitaji? If yes. Kwanini uitegemee kwa upinzani? Wewe kama raia role yake ni ipi? Kuwa keyboard warrior?
Upinzani wa kweli ndio umefufuka rasmi,kilichozikwa ni upinzani uchwaraUkishaona Serikali inakwambia eti kosoa kwa staha basi upinzani kwishney. Kukosoa siku siku zote hakuwezi kuwa kwa staha huo siyo ukosoaji. Ukosoaji lazimi uwe madhubuti na strong.
Msitegemee tena madai ya katiba mpya maana huko ni kukosoa na kuleta vurugu ambapo Serikali imesema kosoa kwa staha!
Ukitaka ukosane na uambulie matusiii. Kosoa mwenendo wa upinzani
😳😳😳Kwan upinzan bado upo? C tuliambiwa mpaka tweny tweny utakua umekufa? Na mithread kibao ya mbogamboga kua upinzan kwishney!!Ukishaona Serikali inakwambia eti kosoa kwa staha basi upinzani kwishney. Kukosoa siku siku zote hakuwezi kuwa kwa staha huo siyo ukosoaji. Ukosoaji lazimi uwe madhubuti na strong.
Msitegemee tena madai ya katiba mpya maana huko ni kukosoa na kuleta vurugu ambapo Serikali imesema kosoa kwa staha!
Kwenye maskini wengi upinzani hauwezi Isha,