Upinzani wasilazimishe Taifa suala la Katiba Mpya, agenda ilishapita

Upinzani wasilazimishe Taifa suala la Katiba Mpya, agenda ilishapita

kmbwembwe

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
10,892
Reaction score
7,780
Chama kinachojibainisha kama kikuu cha upinzani kimekuwa kinalizungumzia suala la katiba kama vile bado halijashughulikiwa. CHADEMA wamekuwa wanataka wapate aina fulani ya Katiba ambayo itawanufaisha wao kisiasa na labda kimapato kwa viongozi wao wala siyo katiba itakayokubalika na wengi kama ilivyotokea kwenye Bunge la Katiba.

CHADEMA sio siri. Wanataka katiba itakayoweka serikali tatu kama ilivyokua inadaiwa na cuf ya maalim seif. Ukaribu na usiri kati ya maalim seif na mbowe kabla ya bunge la katiba inaonyesha njama ya mbowe kumpa maalim seif alichokua anakitaka kwa udi na uvumba.

Tunachojua sasa katiba pendekezwa iko mezani ila wanachotaka chadema ni kuanzwa upya zoezi hilo kwa matumaini ya kupata kile walichokikosa. Hawajali gharama na muda uliyotumika kupata katiba pendekezwa.

Kwa ufupi chadema ni wapinga maendeleo wakubwa 'reactionnaries' . Agenda zao ni za kupotezea muda nchi. Badala ya nchi kujishughulisha na agenda za maendeleo nchi ipoteze muda kwa porojo na kubishana huku mabeberu wakipata muda kuhujumu na kuteka uchumi wa nchi.
 
Mambo ya kuwasingizia mabeberu ni kuonyesha uwezo mdogo wa kufikiri, kifupi ni kwamba unakuwa na akili kama za mwendazake. Swali wewe unataka katiba mpya au huitaki?
 
Madai ya maboresho kwenye katiba yatakoongeza uhuru na demokrasia siyo agenda ya chama fulani. Nina wasiwasi na elimu yetu ya utaifa na dhana nzima ya uzalendo
 
Chama kinachojibainisha kama kikuu cha upinzani kimekuwa kinalizungumzia suala la katiba kama vile bado halijashughulikiwa. CHADEMA wamekuwa wanataka wapate aina fulani ya Katiba ambayo itawanufaisha wao kisiasa na labda kimapato kwa viongozi wao wala siyo katiba itakayokubalika na wengi kama ilivyotokea kwenye Bunge la Katiba.

CHADEMA sio siri. Wanataka katiba itakayoweka serikali tatu kama ilivyokua inadaiwa na cuf ya maalim seif. Ukaribu na usiri kati ya maalim seif na mbowe kabla ya bunge la katiba inaonyesha njama ya mbowe kumpa maalim seif alichokua anakitaka kwa udi na uvumba.

Tunachojua sasa katiba pendekezwa iko mezani ila wanachotaka chadema ni kuanzwa upya zoezi hilo kwa matumaini ya kupata kile walichokikosa. Hawajali gharama na muda uliyotumika kupata katiba pendekezwa.

Kwa ufupi chadema ni wapinga maendeleo wakubwa 'reactionnaries' . Agenda zao ni za kupotezea muda nchi. Badala ya nchi kujishughulisha na agenda za maendeleo nchi ipoteze muda kwa porojo na kubishana huku mabeberu wakipata muda kuhujumu na kuteka uchumi wa nchi.
Hivyo vyama vijenge katiba zao kwanza
 
Chama kinachojibainisha kama kikuu cha upinzani kimekuwa kinalizungumzia suala la katiba kama vile bado halijashughulikiwa. CHADEMA wamekuwa wanataka wapate aina fulani ya Katiba ambayo itawanufaisha wao kisiasa na labda kimapato kwa viongozi wao wala siyo katiba itakayokubalika na wengi kama ilivyotokea kwenye Bunge la Katiba.

CHADEMA sio siri. Wanataka katiba itakayoweka serikali tatu kama ilivyokua inadaiwa na cuf ya maalim seif. Ukaribu na usiri kati ya maalim seif na mbowe kabla ya bunge la katiba inaonyesha njama ya mbowe kumpa maalim seif alichokua anakitaka kwa udi na uvumba.

Tunachojua sasa katiba pendekezwa iko mezani ila wanachotaka chadema ni kuanzwa upya zoezi hilo kwa matumaini ya kupata kile walichokikosa. Hawajali gharama na muda uliyotumika kupata katiba pendekezwa.

Kwa ufupi chadema ni wapinga maendeleo wakubwa 'reactionnaries' . Agenda zao ni za kupotezea muda nchi. Badala ya nchi kujishughulisha na agenda za maendeleo nchi ipoteze muda kwa porojo na kubishana huku mabeberu wakipata muda kuhujumu na kuteka uchumi wa nchi.
Chadema ni matapeli, hawapaswi kuchekewa kabisa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Chama kinachojibainisha kama kikuu cha upinzani kimekuwa kinalizungumzia suala la katiba kama vile bado halijashughulikiwa. CHADEMA wamekuwa wanataka wapate aina fulani ya Katiba ambayo itawanufaisha wao kisiasa na labda kimapato kwa viongozi wao wala siyo katiba itakayokubalika na wengi kama ilivyotokea kwenye Bunge la Katiba.

CHADEMA sio siri. Wanataka katiba itakayoweka serikali tatu kama ilivyokua inadaiwa na cuf ya maalim seif. Ukaribu na usiri kati ya maalim seif na mbowe kabla ya bunge la katiba inaonyesha njama ya mbowe kumpa maalim seif alichokua anakitaka kwa udi na uvumba.

Tunachojua sasa katiba pendekezwa iko mezani ila wanachotaka chadema ni kuanzwa upya zoezi hilo kwa matumaini ya kupata kile walichokikosa. Hawajali gharama na muda uliyotumika kupata katiba pendekezwa.

Kwa ufupi chadema ni wapinga maendeleo wakubwa 'reactionnaries' . Agenda zao ni za kupotezea muda nchi. Badala ya nchi kujishughulisha na agenda za maendeleo nchi ipoteze muda kwa porojo na kubishana huku mabeberu wakipata muda kuhujumu na kuteka uchumi wa nchi.
mwenye masikio na asikie njama za wapinzani zinajulikana wanataka baadae waanze kucheka mambo yakiharibika hawana wema na taifa hili hata kidogo wahuni tu waende wakapambane na kina mdee waliowashindwa huko wanashindwa kufuata katiba yao wenyewe wanatakka katiba ya nchhi mbona yao inawashinda kuifuata? wapi panaonyesha kuwa mbowe ni mwenyekiti wa maisha mpaka aamue mwenyewe kuacha? halafu mnakuja kutupigia kelele hapa katiba mpya?
 
Chama kinachojibainisha kama kikuu cha upinzani kimekuwa kinalizungumzia suala la katiba kama vile bado halijashughulikiwa. CHADEMA wamekuwa wanataka wapate aina fulani ya Katiba ambayo itawanufaisha wao kisiasa na labda kimapato kwa viongozi wao wala siyo katiba itakayokubalika na wengi kama ilivyotokea kwenye Bunge la Katiba.

CHADEMA sio siri. Wanataka katiba itakayoweka serikali tatu kama ilivyokua inadaiwa na cuf ya maalim seif. Ukaribu na usiri kati ya maalim seif na mbowe kabla ya bunge la katiba inaonyesha njama ya mbowe kumpa maalim seif alichokua anakitaka kwa udi na uvumba.

Tunachojua sasa katiba pendekezwa iko mezani ila wanachotaka chadema ni kuanzwa upya zoezi hilo kwa matumaini ya kupata kile walichokikosa. Hawajali gharama na muda uliyotumika kupata katiba pendekezwa.

Kwa ufupi chadema ni wapinga maendeleo wakubwa 'reactionnaries' . Agenda zao ni za kupotezea muda nchi. Badala ya nchi kujishughulisha na agenda za maendeleo nchi ipoteze muda kwa porojo na kubishana huku mabeberu wakipata muda kuhujumu na kuteka uchumi wa nchi.
Mnaosapoti kutokutaka katiba ya wananchi hamna hoja wala elimu ya uraia.

Katiba mpya siyo kwa manufaa ya CDM, bali ni faida kwa taifa na wananchi wake. Ifike mahala tuwe na serikali inayoongoza kwa haki na kuchaguliwa na wananchi kwa haki bila mtutu wa bunduki.

Tukijiwazia sisi badala ya watoto na wajukuu zetu . Hatuwezi kutaka katiba mpya. Huu ni ubinafsi wa kawaida wa mwanadaamu. Lakini tukiwawazia watoto na wajukuu zetu tutawapa katiba nzuri
 
Chama kinachojibainisha kama kikuu cha upinzani kimekuwa kinalizungumzia suala la katiba kama vile bado halijashughulikiwa. CHADEMA wamekuwa wanataka wapate aina fulani ya Katiba ambayo itawanufaisha wao kisiasa na labda kimapato kwa viongozi wao wala siyo katiba itakayokubalika na wengi kama ilivyotokea kwenye Bunge la Katiba.

CHADEMA sio siri. Wanataka katiba itakayoweka serikali tatu kama ilivyokua inadaiwa na cuf ya maalim seif. Ukaribu na usiri kati ya maalim seif na mbowe kabla ya bunge la katiba inaonyesha njama ya mbowe kumpa maalim seif alichokua anakitaka kwa udi na uvumba.

Tunachojua sasa katiba pendekezwa iko mezani ila wanachotaka chadema ni kuanzwa upya zoezi hilo kwa matumaini ya kupata kile walichokikosa. Hawajali gharama na muda uliyotumika kupata katiba pendekezwa.

Kwa ufupi chadema ni wapinga maendeleo wakubwa 'reactionnaries' . Agenda zao ni za kupotezea muda nchi. Badala ya nchi kujishughulisha na agenda za maendeleo nchi ipoteze muda kwa porojo na kubishana huku mabeberu wakipata muda kuhujumu na kuteka uchumi wa nchi.

imeisha hio!
 
Mnaosapoti kutokutaka katiba ya wananchi hamna hoja wala elimu ya uraia.

Katiba mpya siyo kwa manufaa ya CDM, bali ni faida kwa taifa na wananchi wake. Ifike mahala tuwe na serikali inayoongoza kwa haki na kuchaguliwa na wananchi kwa haki bila mtutu wa bunduki.

Tukijiwazia sisi badala ya watoto na wajukuu zetu . Hatuwezi kutaka katiba mpya. Huu ni ubinafsi wa kawaida wa mwanadaamu. Lakini tukiwawazia watoto na wajukuu zetu tutawapa katiba nzuri
Wawakilishi wa wananchi walisha hitimisha katiba mpya. Bado kupigiwa kura tu.
 
Katiba mpya ni muhimu kwa taifa letu, kauli ya rais wetu mpendwa kwa ainue kwanza uchumi Haina mashiko kamwe
 
Back
Top Bottom