KakindoMaster
JF-Expert Member
- Dec 5, 2006
- 1,356
- 88
Karibu JF. Hivi hizi online research unazofanya ndio hizi unazoandika humu?
Swali jingine ni kwamba...Atokee mtu kama Kingunge Ngombale Mwiru...Kama kawaida yake ampe Mungwana mawaidha mabovu!
Say for instance...amwambie kuwa kuitoa ripoti sasa hivi kutaiua CCM!
Atamsikiliza Kingunge ama atawasikiliza wapinzani?
Unayaamini unayoandika au...........? ili mradi tu!Kamanda,
Unapoamua kumdharau Mhe. Kingunge ni sawa na Kuidharua CCM, mbaya zaidi ni kumdharau Mhe. JK
Kimsingi unasahau kuwa ni CCM ambao wapo madarakani, hivyo kitkachoamuliwa ni kwa manufaa ya Nchi na sio kwa manufaa ya vyama vya upinzani au matakwa yako binafsi. Serikali haipo madarakani kuwatumikia vyama vya upinzani, bali wananchi wake kwa ujumla. Usijisahau sana...
Kamanda,
Unapoamua kumdharau Mhe. Kingunge ni sawa na Kuidharua CCM, mbaya zaidi ni kumdharau Mhe. JK
Kimsingi unasahau kuwa ni CCM ambao wapo madarakani, hivyo kitkachoamuliwa ni kwa manufaa ya Nchi na sio kwa manufaa ya vyama vya upinzani au matakwa yako binafsi. Serikali haipo madarakani kuwatumikia vyama vya upinzani, bali wananchi wake kwa ujumla. Usijisahau sana...
Mimi si mmind huyu Shy lakini ni lazima tujiulize inakuwa vipi Zitto amtetee Kikwete wakati hajafanya anything tangible!
At the same time akizungumzia kashfa za EPA ambazo Kikwete mwenyewe ameshindwa kuzishughulikia vile ipasavyo mara baada ya yeye kulegeza mapambano mara baada ya kumegewa ulaji wa "KAMATI"!
Naona kuna watu wengi pamoja na mimi huwa hatukubaliani na maswala unayowakilisha.Leo naunga mkono ka-part...
Lakini hili jambo la upinzani kutokuwa na policy mpya kinanikera sana. Maana wao ukiangalia sana ni critic of the government of the day...hio ni wajibu wao lakini mbona hawatoi mbadala?
Uti wa mgongo wa Tanazania ni KILIMO lakini hakuna hata chama kiwe CCM au wapinzani ambao wana sera nzito ya kilimo na kuweza kutunyayua sisi wakulima into new century.
Karibu JF. Hivi hizi online research unazofanya ndio hizi unazoandika humu?
Kwanini asiwa organize watanzania wote hapa ili tuishinikize marekani watukabidhi mtuhumiwa as per agreement?
Ama ni kwasababu ameshapinga urafiki na Kikwete?
Zitto ana utashi wake na anafanya mambo kwa utashi wake unamtuma, sio kukurupuka tu, je kama ana shughuli nyingi. Je nia yake ya kwanza ni kukutana na watanzania huko? anafanya kwanza kirichpmpeleka na kuonana na watanzania ni chaguo si lazima ni mapenzi. Kwani wangapi wamekuja hapo na wahajaonana na watanzania. Usimuonee kijana wa watu, ukitaka kumshauri mwandikie PM, au mpigie simu kwani ariacha namba ya simu. wewe uko HUKO KWA NINI USINGEULIZA HIYO SERIKALI ARIPO BALALI
Kamanda,
Unapoamua kumdharau Mhe. Kingunge ni sawa na Kuidharua CCM, mbaya zaidi ni kumdharau Mhe. JK
Kimsingi unasahau kuwa ni CCM ambao wapo madarakani, hivyo kitkachoamuliwa ni kwa manufaa ya Nchi na sio kwa manufaa ya vyama vya upinzani au matakwa yako binafsi. Serikali haipo madarakani kuwatumikia vyama vya upinzani, bali wananchi wake kwa ujumla. Usijisahau sana...
Naona umeshajibiwa maswali yako yote isipokuwa hili nami nimeona nikujibu ili kukuweka sawa. Kwanza, nami nikubaliane nawe kwamba mimi ni kati ya watu wanaoamini kwamba Zitto ni kati ya watanzania (nafikiri wengi) wanaoamini kwamba JK anaweza kufanya mabadiliko. Kwa hiyo ukimsikiliza kwa makini Zitto amekuwa mzito kumrushia makombora JK kama anavyowarushia wana CCM wengine. Sasa kama hii ni kweli au sio kweli yeye anajua zaidi kuliko sisi, sisi tunahisi tu kutokana na maneno yake. Hata hivyo, sioni kama hili ni tatizo. Hii ni kwa sababu kwenye siasa tunatofautiana misimamo na mikakati. Kwa mfano, mimi binafsi msimamo wangu ni kwamba CCM kama chama kimepoteza sifa ya kutawala na siamini kwamba kuna mtu anaweza kuibadilisha CCM ikawaweza kutoa uongozi tunaohitaji katika nchi, si Kikwete si nani. In fact, kwangu mimi ni bora Mkapa aliweza kuitikisa CCM ikabadilika, to worse or better, I am not sure. Kikwete ame-prove kwamba ni mtu asiyekuwa na style yeyote ya uongozi-yaani hata udikteta hauwezi! Kwa hiyo kwangu mimi kinachotakikana kwa sasa, as a first step to real change, ni kuwashawishi wananchi kuachana na CCM na kuing'oa madarakani.
Sasa kuna wengine wanaamini kwamba inawezekana tukaleta mabadiliko hata kupitia CCM tukiwa na watu kama akina Kikwete. Sasa hatuwezi kuwasuta au kuwalaumu watu wenye mawazo ya namna hii. Ni swala la kutofautiana mtizamo tu. Kwa hiyo sioni kasoro yeyote kwa Zitto kuonyesha uzito wa kum-criticise JK au hata kum-mind! Inawezekana yeye ni kati ya watanzania malioni waliopagawishwa na wanaoendelea kupagawishwa na Kikwete!
Kwanini hakupewa uwaziri mkuu ama
something ambayo ataweza kuwatumikia wananchi ipasavyo kimaamuzi?
Ye anakubali vipi kuwa cheap kiasi hicho?
Wangapi wanamsikiliza na kwanini asimsikilize kama wengine wakati JK ndio Rais? Hata wewe unamsikiliza hata kama hukubaliani naye!Kwa nini yeye ndio amsikilize Kikwete tu kila siku!?
Je Kikwete naye keshawahi kumsikiliza hata siku moja?
Je atamsikiliza this time around?
Kwanini ajitoe mzima mzima kussapoti mambo amabyo bado hatujaona umuhimu wa kuyasapoti kwasababu ya namna wananvyodili na mafisadi?
Je Zitto amepinga urafiki na Kikwete kiasi cha kujipindua kiasi hicho?
JE ANAAMINI KUWA MABADILIKO HAYO YATAHUSISHA KUWAKWIDA MAFISADI KAMA BALALI NA CHENGE?
Ama they still share the same ideas with His Excellence kuwa wasijali kuitwa mafisadi?
(1)Jmushi, hivi unatoka na mawazo tu bila kufikiria au unauliza alimradi uulize?
(2)Hivi unajua nani anaweza kuwa Waziri Mkuu Tanzania, au Waziri Mkuu anapatikana vipi!?
(3)Tayari anawatumikia wananchi, amechaguliwa hawezi kusubiri kupewa dezo dezo!
Cheap kwa kipimo cha nani?
Wangapi wanamsikiliza na kwanini asimsikilize kama wengine wakati JK ndio Rais? Hata wewe unamsikiliza hata kama hukubaliani naye!
Hili ni swali la Kikwete au muulize Salva!
(4)So umeassume hajawahi kumsikiliza?
(5)Umejuaje kajitoa mzima mzima?
(6)Kajipinduaje?
Imani yake inahusiana vipi na yale yaliyo halisi? Kila mtu anaweza kuwa na imani fulani;
Kwa hiyo katika mawazo yake umeamua kumuita Zitto naye fisadi kwa vile umeshindwa kutafuta majibu ya maswali yako?[/quote]
1)MKJJ Nauliza kwasababu ni maswali muhimu na wala si eti ni for the sake of kuuliza!
Hii naweza kuona kama ni dharau kwangu!
2)Hili la uwaziri mkuu ni ni mfano tu!
Kwanza nilishawahi kukutana na yeye akiwa na Mbowe..Tena kabla ya umaarufu huu!
Na kuwaambia kuwa kwanini Kikwete haja consider kuwashirikisha wapinzani kwenye ujenzi wa nchi provided wana nia nzuri na nchi?
Kama hakumbuki nitamkumbusha..Coz anaweza akawa amesahahu kwasababu huyu bwana kama ilivyo kwa watu wengine maarufu anakutana na watu wengi!
3)Kama hataki dezo dezo..Then kamati ya madini unaiita nini?
4)Na pia nina weza ku assume hajawahi kumsikiliza ama kama kasikilizwa na mambo yenyewe ndiyo haya then i might as well as consider kuwa si wenzetu tena hawa!
5)Kujitoa mzima mzima ni ile confidence aliyonayo kuwa he is 100% kuwa His Excellence would not let him down or facilitate his political demise!
6)Kujipindua ni kussapoti any decision that does not incorporate the arrests of the criminals like Balali and others!
Ukweli ni kwamba upinzani hawana nyimbo kabisaaa wala game plan ya maana.
Halafu Mwanakijiji unaumwa au? Naona umebonyeza thanks mfululizo humu, sasa sijui kibao cha mall kimekufanya trigger happy?