1)MKJJ Nauliza kwasababu ni maswali muhimu na wala si eti ni for the sake of kuuliza!
Maswali magumu kwa nani?
Hii naweza kuona kama ni dharau kwangu!
Inawezekana nimedharau mtindo wa maswali yako.
2)Hili la uwaziri mkuu ni ni mfano tu!
Ni mfano mbovu!
Kwanza nilishawahi kukutana na yeye akiwa na Mbowe..Tena kabla ya umaarufu huu!
Which means what? ur special?
Na kuwaambia kuwa kwanini Kikwete haja consider kuwashirikisha wapinzani kwenye ujenzi wa nchi provided wana nia nzuri na nchi?
Wapinzani hawahitaji kushirikishwa kuijenga nchi yao, kila mtu kwa nafasi yake na kwa namna yake anashiriki. Yaani unaamini ili kuijenga nchi lazima uwe kwenye serikali ya Kikwete? Halafu hili ni swali ambao mwenye kulijibu ni Ikulu. Kama unahitaji contacts za Salva au JK nishtue nitakupatia maana hili ni swali zuri. Lakini kwa vile linauliza official response, then only the official channels zihusishe.
Kama hakumbuki nitamkumbusha..Coz anaweza akawa amesahahu kwasababu huyu bwana kama ilivyo kwa watu wengine maarufu anakutana na watu wengi!
Itakuwaje kama nini wewe unayehitaji kukumbushwa?
3)Kama hataki dezo dezo..Then kamati ya madini unaiita nini?
Kamati ya Kupitia sekta na sheria ya Madini iliyoundwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano. Sijuo "dezo" imetoka wapi?
4)Na pia nina weza ku assume hajawahi kumsikiliza ama kama kasikilizwa na mambo yenyewe ndiyo haya then i might as well as consider kuwa si wenzetu tena hawa!
wenzako na nani, na lini walikuwa ni wenzako?lakini kwenye suala la kuassume una haki ya kuassume lolote lile.
5)Kujitoa mzima mzima ni ile confidence aliyonayo kuwa he is 100% kuwa His Excellence would not let him down or facilitate his political demise!
Huwezi kufanya jambo huku una mashaka vinginevyo usifanye. Nchi haiwezi kuongozwa kwa misingi ya "urafiki wenye mashaka". Kama asingemuamini Rais kuwa ana lengo zuri asingeingia, so the burden is not on Zitto but on Kikwete, so you are barking at wrong tree pal!
6)Kujipindua ni kussapoti any decision that does not incorporate the arrests of the criminals like Balali and others!
[/QUOTE]
yeye Zitto anahusiana vipi na wahalifu? Badala ya kuwapigia kelele kina Mwema, Hosea, Othman, Manumba na wenzake unampigia kelele Mbunge Kigoma Kaskazini ambaye hana amri juu ya kitu chochote kinachohusiana na usalama!