Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,384
Ladha yake kwa kweli ni mbayaaa dah sujui Mungu aliumbaje hizi mboga. Sometimes nachanganya na curry au mayo lakini wapi...inahitaji ubunifu sio kdg
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ladha yake kwa kweli ni mbayaaa dah sujui Mungu aliumbaje hizi mboga. Sometimes nachanganya na curry au mayo lakini wapi...inahitaji ubunifu sio kdg
Vishina vile vigumu waweza kupunguza kwani yanakuwaga mabonge sana.Kuuliza si ujinga na hiyo miti/ vishina vyake Vinaliwa?
Mimi jamani yamenishinda kabisa kuyapika haya, ila nakula tu nikienda China Buffet wanayajulia kuyapika.Ladha yake kwa kweli ni mbayaaa dah sujui Mungu aliumbaje hizi mboga. Sometimes nachanganya na curry au mayo lakini wapi...inahitaji ubunifu sio kdg
Huw naziponda ponda mix na avocado then namake sandwitch at least vinalika kwa mtoto. Sijui ni broco spp gani, but hizi zenye green canopy daah ni shidaReally? Kibinti changu kinatafuta mbichi kwenye salad mwenyewe anaita tree
Mimi jamani yamenishinda kabisa kuyapika haya, ila nakula tu nikienda China Buffet wanayajulia kuyapika.
Bora umerudi recipe zako huwa haziniangushi. Barikiwa mpendwa, nyumbani walimiss vitu vipya vipya
Huw naziponda ponda mix na avocado then namake sandwitch at least vinalika kwa mtoto. Sijui ni broco spp gani, but hizi zenye green canopy daah ni shida
You welcome hata bila ya ku steam tamu sana kwa salad
Nashukuru mpendwa, ila to be honest broccoli na cauliflower nakula basi tu, sixipendi kwakweli.
Mmhuu. Me nimeona hiko kibua hapo. [emoji39]
Thanks kwa pishi. Will try it
[emoji39] nayapenda sana hayo,nasikia yana faida kubwa sana mwilini.View attachment 335400
mshana jr,@kui,Nyani Ngabu,Angel Nylon,Mrs Kharusy,@atoto,@swts,MziziMkavu na wengine wote
[emoji39] nayapenda sana hayo,nasikia yana faida kubwa sana mwilini.
Sent using Jamii Forums mobile app