Upo Kiwanja gani Jumamosi ya leo 12.06.2021

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
21,711
Reaction score
35,644
Duh, mi siku ilitaka kuanza vibaya nimeamkia hospitals ila Dr. Kanipa dawa kaniambia naweza kuanza hata jumatatu nimezihifadhi sehemu nipo kwenye kaglosari mtaaani napiga Kilimanjaro ndogo bariiidi.

Nipe chimbo ulilopo hata kama Kanisani sawa ila tujulishe ulipo kama pamekucha saaana kama kuna [emoji1891][emoji2585][emoji1352][emoji1350] tuambie,

Tualike aisee leo nipo mobile saaana yaana haka ka VITZ[emoji594] geji unasimea juu ya nusu tanki[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Nipe update za kila tukio hapo ulipo hata kama maombi[emoji1317][emoji1317][emoji1317] poa tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Twende kazi mabaharia na Queens

Uzi tayari


Updates nimevamia sherehe ya watu hata siwajui.hapa JC HALL Africana

View attachment 1816593
 
Daah kuna mahali nimekuja kupiga bia mbili kajitokeza jamaa kumbe laini yake ya halotel imejiblock kumbe ile kadi anayo nika unlock kaniona kama genious flani anatandika bia balaa yan hapa sitoki ananiita usalama wa taifa yan mtaani kuna wapumbavu wengi sanaa yan umuhimu wa elimu nauona hapa aisew kumbe mtaani kuna watu hawajui kusoma na kuandika kweli ccm mbele kwa mbele
 
Ukumbafu ni mwingi joo
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kha!
 
Badala unywe bia kimya kimya unaanza kumkandia sponsor wakati budget Yako ilikuwa bia mbili tu.

Tena Bora alewe akutembezee mitama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…