Upo Kiwanja gani Jumamosi ya leo 12.06.2021

Upo Kiwanja gani Jumamosi ya leo 12.06.2021

Nakula ka viceroy jiran tu hapa, huku nikiwaza na kuwazua
IMG-20210524-WA0018.jpg
 
Daah kuna mahali nimekuja kupiga bia mbili kajitokeza jamaa kumbe laini yake ya halotel imejiblock kumbe ile kadi anayo nika unlock kaniona kama genious flani anatandika bia balaa yan hapa sitoki ananiita usalama wa taifa yan mtaani kuna wapumbavu wengi sanaa yan umuhimu wa elimu nauona hapa aisew kumbe mtaani kuna watu hawajui kusoma na kuandika kweli ccm mbele kwa mbele
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] matunda ya elimu hayo piga gambe mkuu
 
Daah kuna mahali nimekuja kupiga bia mbili kajitokeza jamaa kumbe laini yake ya halotel imejiblock kumbe ile kadi anayo nika unlock kaniona kama genious flani anatandika bia balaa yan hapa sitoki ananiita usalama wa taifa yan mtaani kuna wapumbavu wengi sanaa yan umuhimu wa elimu nauona hapa aisew kumbe mtaani kuna watu hawajui kusoma na kuandika kweli ccm mbele kwa mbele
Mkuu upo bia ya ngapi naona mambo yameshaanza kuwa mengi😂
 
Hii ipo wapi mkuu ya tabata naiskiaga ila mbali naitaka hii nikanywe hata vant moja
Toka.we jamaa maisha tunaishi mara moja ila kumbuka BAADA YA KIFO NI HUKUMU[emoji24][emoji24][emoji24] Hakuna kuombea marehemu
 
Badala unywe bia kimya kimya unaanza kumkandia sponsor wakati budget Yako ilikuwa bia mbili tu.

Tena Bora alewe akutembezee mitama.
We dada hebu tulia home na familia[emoji41][emoji41]
 
Back
Top Bottom