mkombengwa
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 3,173
- 3,443
Nakula ka viceroy jiran tu hapa, huku nikiwaza na kuwazua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28][emoji28][emoji28] code inasomaje asee[emoji848]
Wanyumbani acha majungu bhasi aseeNgoja niweke funguo ya geto juu ya Meza nipige picha na mimi nijumuike hapa kwa picha
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] matunda ya elimu hayo piga gambe mkuuDaah kuna mahali nimekuja kupiga bia mbili kajitokeza jamaa kumbe laini yake ya halotel imejiblock kumbe ile kadi anayo nika unlock kaniona kama genious flani anatandika bia balaa yan hapa sitoki ananiita usalama wa taifa yan mtaani kuna wapumbavu wengi sanaa yan umuhimu wa elimu nauona hapa aisew kumbe mtaani kuna watu hawajui kusoma na kuandika kweli ccm mbele kwa mbele
Nikiwa glosari kajitokeza mdau kanipa kadi nimezamia sherehe hata wahusika siwajui[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]mkuuu bado nimelala but ratiba ya leo ni kitambaa cheupe kinondoni
Mkuu upo bia ya ngapi naona mambo yameshaanza kuwa mengi😂Daah kuna mahali nimekuja kupiga bia mbili kajitokeza jamaa kumbe laini yake ya halotel imejiblock kumbe ile kadi anayo nika unlock kaniona kama genious flani anatandika bia balaa yan hapa sitoki ananiita usalama wa taifa yan mtaani kuna wapumbavu wengi sanaa yan umuhimu wa elimu nauona hapa aisew kumbe mtaani kuna watu hawajui kusoma na kuandika kweli ccm mbele kwa mbele
Toka.we jamaa maisha tunaishi mara moja ila kumbuka BAADA YA KIFO NI HUKUMU[emoji24][emoji24][emoji24] Hakuna kuombea marehemuHii ipo wapi mkuu ya tabata naiskiaga ila mbali naitaka hii nikanywe hata vant moja
[emoji483][emoji481][emoji482]ntakuwepo saa 5 kinondoni ipo mkuuu krb tule beer pamoja
Shindwaaaaaaq[emoji1671][emoji1588][emoji3321][emoji3319]Kuna pepo linanishawishi nipande tips
Ipo wapi[emoji848][emoji848]Leo ntakuwa migomban survey kwenye grocery za mashangingi
Akikujibu nitag[emoji41]Totoz za kiwango?..
Hahaha hajui hata kama kuna jf wala insta hajui kutumia ila mfukon si haba bia ya 30 hii lite tena mzee babaBadala unywe bia kimya kimya unaanza kumkandia sponsor wakati budget Yako ilikuwa bia mbili tu.
Tena Bora alewe akutembezee mitama.
[emoji848][emoji848][emoji848] ipo wapi mkuu weka kapicha plzNyumbani sebuleni nakagua mithiani ya watoto mkuu wapo wengi njoo tujumuike.
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
We dada hebu tulia home na familia[emoji41][emoji41]Badala unywe bia kimya kimya unaanza kumkandia sponsor wakati budget Yako ilikuwa bia mbili tu.
Tena Bora alewe akutembezee mitama.
Home unaacha mazaga then mwanaume unaenda kutafuta connections za michongo mapenzi hayaliwiSafi sana responsible father [emoji106]
Okay Kaka enjoy na sponsor wako.We dada hebu tulia home na familia[emoji41][emoji41]
[emoji2960][emoji2960][emoji2958][emoji2958]Nakula ka viceroy jiran tu hapa, huku nikiwaza na kuwazuaView attachment 1816565