G'son
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 777
- 402
KaribuNtakuja mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KaribuNtakuja mkuu
Asante sana mdauKaribu
Toa ufunguo wa Toyota mezani mkuuDuh, mi siku ilitaka kuanza vibaya nimeamkia hospitals ila Dr. Kanipa dawa kaniambia naweza kuanza hata jumatatu nimezihifadhi sehemu nipo kwenye kaglosari mtaaani napiga Kilimanjaro ndogo bariiidi.
Nipe chimbo ulilopo hata kama Kanisani sawa ila tujulishe ulipo kama pamekucha saaana kama kuna [emoji1891][emoji2585][emoji1352][emoji1350] tuambie,
Tualike aisee leo nipo mobile saaana yaana haka ka VITZ[emoji594] geji unasimea juu ya nusu tanki[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Nipe update za kila tukio hapo ulipo hata kama maombi[emoji1317][emoji1317][emoji1317] poa tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Twende kazi mabaharia na Queens
Uzi tayariView attachment 1816282
Updates nimevamia sherehe ya watu hata siwajui.hapa JC HALL Africana
View attachment 1816593
Migombani bei za vinywaji bei juu sana aaghLeo ntakuwa migomban survey kwenye grocery za mashangingi
[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35] una dharau saana we mmama
Sahihi kabisa , ilazo' watu wanapa changamkia kweli...
Ni sehemu nzuri , Kwa wenye ndoto ya kuishi Dodoma.
Duh, mi siku ilitaka kuanza vibaya nimeamkia hospitals ila Dr. Kanipa dawa kaniambia naweza kuanza hata jumatatu nimezihifadhi sehemu nipo kwenye kaglosari mtaaani napiga Kilimanjaro ndogo bariiidi.
Nipe chimbo ulilopo hata kama Kanisani sawa ila tujulishe ulipo kama pamekucha saaana kama kuna [emoji1891][emoji2585][emoji1352][emoji1350] tuambie,
Tualike aisee leo nipo mobile saaana yaana haka ka VITZ[emoji594] geji unasimea juu ya nusu tanki[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Nipe update za kila tukio hapo ulipo hata kama maombi[emoji1317][emoji1317][emoji1317] poa tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Twende kazi mabaharia na Queens
Uzi tayariView attachment 1816282
Updates nimevamia sherehe ya watu hata siwajui.hapa JC HALL Africana
View attachment 1816593
Ile Nokia yangu iliyoibiwa kumbe uliuziwa wewe.Duh, mi siku ilitaka kuanza vibaya nimeamkia hospitals ila Dr. Kanipa dawa kaniambia naweza kuanza hata jumatatu nimezihifadhi sehemu nipo kwenye kaglosari mtaaani napiga Kilimanjaro ndogo bariiidi.
Nipe chimbo ulilopo hata kama Kanisani sawa ila tujulishe ulipo kama pamekucha saaana kama kuna [emoji1891][emoji2585][emoji1352][emoji1350] tuambie,
Tualike aisee leo nipo mobile saaana yaana haka ka VITZ[emoji594] geji unasimea juu ya nusu tanki[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Nipe update za kila tukio hapo ulipo hata kama maombi[emoji1317][emoji1317][emoji1317] poa tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Twende kazi mabaharia na Queens
Uzi tayariView attachment 1816282
Updates nimevamia sherehe ya watu hata siwajui.hapa JC HALL Africana
View attachment 1816593
Duh haya bhanaRudy's farm nakula kiti cha moto[emoji39][emoji39]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ndio mamaa ni wa Vitz huo, ila acha madharau[emoji35][emoji35][emoji35]
Mamaa yaishe,Mkuu kama unafikiria mdada au mmama kutoka lazima apate offer, bado wewe ni mvulana hujakua bado
Kwanini[emoji848][emoji848][emoji848]nilipapenda kwa kweli ningekua nafanya kazi Dom lazima ningejenga Ilazo
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] mkuu hii ni yanguIle Nokia yangu iliyoibiwa kumbe uliuziwa wewe.
Nakupa offer weekend ijayoNini!!!