Tunachat na watoto wanawaza kutafuta mpenzi baa mi na washkaji wakike kibao tunaona tunakula bia tunaachana .Tena kuua kabisa umesema na mumeo shubamitndiyo tatizo la wavulana yaani mtu akitoka anataka offer, kaka ninahama viwanja na Mume wangu sina haja ya Offer
Vipi watoto wa kampala wanaibukaga hapo tnt?Wa g/mboto TNT tukutane hapa
akili ndogo?Muone huyu na akili zake ndogo
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] anakopesha??Kwa mama Kagoma ni mwendo wa daftari tu af nafunga kihasibu total.View attachment 1818858
Hana neno mama Kagoma ,tunakopa vizuri sana.[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] anakopesha??
Hapo poa saana ila ngalia isiwe mwisho wa mwezi unaacha laki2 unaanza upya kukopa.Hana neno mama Kagoma ,tunakopa vizuri sana.
Duuh jamani kwani kunywa lazima Mkuu?? hayanihusu lakini mweeKwa mama Kagoma ni mwendo wa daftari tu af nafunga kihasibu total.View attachment 1818858
Tuko wawili hapo ,Asante kwa ushauri.Duuh jamani kwani kunywa lazima Mkuu?? hayanihusu lakini mwee