Upo Kiwanja gani Jumamosi ya leo 12.06.2021

ndiyo tatizo la wavulana yaani mtu akitoka anataka offer, kaka ninahama viwanja na Mume wangu sina haja ya Offer
Tunachat na watoto wanawaza kutafuta mpenzi baa mi na washkaji wakike kibao tunaona tunakula bia tunaachana .Tena kuua kabisa umesema na mumeo shubamit
 
Hana neno mama Kagoma ,tunakopa vizuri sana.
Hapo poa saana ila ngalia isiwe mwisho wa mwezi unaacha laki2 unaanza upya kukopa.

Mi bia za kukopa nshaachaga kwasababu hio.
Ni.mwendo wa keshi ikiisha nakaa zangu home inakuwa zamu ya TV na Kitanda kuumia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…