The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Tunachat na watoto wanawaza kutafuta mpenzi baa mi na washkaji wakike kibao tunaona tunakula bia tunaachana .Tena kuua kabisa umesema na mumeo shubamitndiyo tatizo la wavulana yaani mtu akitoka anataka offer, kaka ninahama viwanja na Mume wangu sina haja ya Offer