Upo Kiwanja gani Jumamosi ya leo 12.06.2021

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] matunda ya elimu hayo piga gambe mkuu
 
Mkuu upo bia ya ngapi naona mambo yameshaanza kuwa mengi😂
 
Hii ipo wapi mkuu ya tabata naiskiaga ila mbali naitaka hii nikanywe hata vant moja
Toka.we jamaa maisha tunaishi mara moja ila kumbuka BAADA YA KIFO NI HUKUMU[emoji24][emoji24][emoji24] Hakuna kuombea marehemu
 
Badala unywe bia kimya kimya unaanza kumkandia sponsor wakati budget Yako ilikuwa bia mbili tu.

Tena Bora alewe akutembezee mitama.
We dada hebu tulia home na familia[emoji41][emoji41]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…