Upo kwenye daladala anaingia mrembo, unatarajia atakaa vizuri kwenye siti yenu nyie wawili tu, lakini akakupa mgongo

Mpigamimba

Senior Member
Joined
Nov 26, 2022
Posts
198
Reaction score
237
Nilitafakari sana kichwa cha habari hii.

Nipo kwenye basi kama nivyosema hapo, nimekaa zangu siti za double nikiwa dirishani, akaingia mrembo pisi kali ya hatari.

Cha ajabu ikanikalia na miracle paaa! Upandeupande. Mishavu ikiwa juu ya mguu wangu paja, nikajisogeza ili asinikalie na baadhi minyama nyama.

Nilijiuliza sana bila majibu.
 
Nikajisemea hizi si Ndio zile Mimba nazipigaga halafu baadae anasema wanaume tunatelekeza. Jkwa sababu Huna adabu nani atakuheshim. Jiheshim kwanza, umekuta watu Kaa kistaarbu
 
Wewe kijana bado unapanda Public transport dala dala unatamani vitu vya wenye gari tulia kwanza upate pesa hutakuja kuona ajabu yoyote.
 
KiukweLi nimesoma mara 4 na nimetoka kapa sijaelewa chochote hivi afya ya akili iko sawa mkuu..? @!Mashudu
 
Dah, pole sana mkuu, jaribu kutafuta wanawake wa hali yako. Huku kwetu akina Aisha Chupi Kubwa wamejazana sana
 
Kakukalia!... 🤕

Mishavu ikiwa ikiwa juu ya mguu.

Duuh!. Niambieni kuna mishavu ya aina ngapi?

Kwangu mimi najua mashavu ya usoni na mashavu ya mbunye.

Hiyo mishavu iliyomkalia mleta mada yapo kwa sehemu gani ndugu zangu? Au pisi kali ilipiga miguu kichwa chini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…