Mpigamimba
Senior Member
- Nov 26, 2022
- 198
- 237
Wewe kijana bado unapanda Public transport dala dala unatamani vitu vya wenye gari tulia kwanza upate pesa hutakuja kuona ajabu yoyote.Nilitafakari sana kichwa cha habari hii.
Nipo kwenye basi kama nivyosema hapo, nimekaa zangu siti za double nikiwa dirishani, akaingia mrembo pisi kali ya hatari.
Cha ajabu ikanikalia na miracle paaa! Upandeupande. Mishavu ikiwa juu ya mguu wangu paja, nikajisogeza ili asinikalie na baadhi minyama nyama.
Nilijiuliza sana bila majibu.
Kakukalia!... 🤕Nilitafakari sana kichwa cha habari hii.
Nipo kwenye basi kama nivyosema hapo, nimekaa zangu siti za double nikiwa dirishani, akaingia mrembo pisi kali ya hatari.
Cha ajabu ikanikalia na miracle paaa! Upandeupande. Mishavu ikiwa juu ya mguu wangu paja, nikajisogeza ili asinikalie na baadhi minyama nyama.
Nilijiuliza sana bila majibu.