rakshydesule
New Member
- Oct 12, 2018
- 1
- 0
dodoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
safi mkuu na majahazi yako lakini nasikia uko karafuu ndio kila kitu,Nipo huku nimewekeza kwny majahazi
Aisee kweli tz ni kubwa, chamaki nchanga hivi bado Wa napatikana hukoHahahaaa. Hiyo ni Wilaya Kaka iko Ntwara.
Bro!! Heshima yakoChiweta malawi
Mi mzima mkuu habari ya ujenzi wa nchi yetuBro!! Heshima yako
kumbe mtwara hiyo, wanasema sikuhizi mtwara wanajua kupenda tanga inasubiri. ni kweli?Ndio Ntwara huko
Hahaha!! Ni nzuri tunaendelea maana tupo kwenye rait traki kwema huko?Mi mzima mkuu habari ya ujenzi wa nchi yetu
Huku kwema kabisaHahaha!! Ni nzuri tunaendelea maana tupo kwenye rait traki kwema huko?
Hahahaaa. Wamejaa tele chamaki nchanga kwani unakula hii kitu na weye Kaka? 😜😜😜Aisee kweli tz ni kubwa, chamaki nchanga hivi bado Wa napatikana huko
Hahahaaa. Hawajafiki bado Mkuu.kumbe mtwara hiyo, wanasema sikuhizi mtwara wanajua kupenda tanga inasubiri. ni kweli?
Duuuh nakumbuka miaka kadhaa iliyo pita nilikuwa huo mkoa ntwara ukienda vijijini ndio utajua kuna mboga huwa zinatumika vizuri kabisaHahahaaa. Wamejaa tele chamaki nchanga kwani unakula hii kitu na weye Kaka? [emoji12][emoji12][emoji12]
Kweli kamanda ngoja tuvumliane, tu hamna namnaHuku kwema kabisa
Manapaswa kuwa wavumilivu maana mapito hayakosekani kwenye maisha ya mwanadamu
Habar zaid mkuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimetekwa hata sijui hapa ni wapi
Hapo sasa maana sijui ntasemaje kwa mwenyeweumezungukwa na mabaunsa! angalia usalama wako wa rinda vizuri awachelewi hao
Hahahaaa. Wamejaa tele chamaki nchanga kwani unakula hii kitu na weye Kaka? [emoji12][emoji12][emoji12]
Hahahaaa. Niliona video moja hiyo yaani hawa madereva wa magari makubwa wanakulaga sana hizi nyama aiseee.Duuuh nakumbuka miaka kadhaa iliyo pita nilikuwa huo mkoa ntwara ukienda vijijini ndio utajua kuna mboga huwa zinatumika vizuri kabisa
Huwa waliokula wanasifia sana kwamba nyama yake iko poa. Jaribu siku moja bana. 😀😀😀Hmm!1 kwakweli mimi sili ila labda kambwa ndio nakula[emoji2][emoji2]