mwanamichakato
JF-Expert Member
- Mar 20, 2015
- 1,188
- 1,090
Kwa Siku kadhaa sasa mifumo ya bandari haifanyi kazi hivyo kupelekea wadau ktk Masuala ya forodha kukwama kutoa mizigo mbalimbali.
Mkwamo wa System Kwa muda mrefu huleta usumbufu mkubwa ,hasara kubwa na taswira hasi kuhusu bandari na Taifa Kwa kuzingatia ushindani uliopo ktk ukanda tuna bandari Shindani Beira,Durban,Welvis Bay,Mombasa..
Kama ilivyowahi kulipotiwa kwenye upatikanaji wa shida wa umeme kwama wafanyakazi wa Mabwawa ya kuzarisha umeme walihujumu ujazo wa maji ili wajinuafaishe wao na wengine ktk mnyororo Upo uwezekano pia kutokana na songombingo la Mkataba wa bandari..
Wito,Vyombo vya Siri vya usalama wa nchi vifuatilie na kuchukua hatua kali dhidi ya wote wanaohujumu mifumo na kusababisha hasara Kwa Taifa letu.
Nawakirisha
Mkwamo wa System Kwa muda mrefu huleta usumbufu mkubwa ,hasara kubwa na taswira hasi kuhusu bandari na Taifa Kwa kuzingatia ushindani uliopo ktk ukanda tuna bandari Shindani Beira,Durban,Welvis Bay,Mombasa..
Kama ilivyowahi kulipotiwa kwenye upatikanaji wa shida wa umeme kwama wafanyakazi wa Mabwawa ya kuzarisha umeme walihujumu ujazo wa maji ili wajinuafaishe wao na wengine ktk mnyororo Upo uwezekano pia kutokana na songombingo la Mkataba wa bandari..
Wito,Vyombo vya Siri vya usalama wa nchi vifuatilie na kuchukua hatua kali dhidi ya wote wanaohujumu mifumo na kusababisha hasara Kwa Taifa letu.
Nawakirisha