Mahaba ,tabasamu tuko pamoja ila kwenye huduma sijaelewa bado
Eneo la Elimu basi na shaka niko vizuri ila bado naendelea kunoa shoka zaidi .
Public speaking hapo nadhani nilizaliwa toka tumboni maana jinsi idadi ya watu inavyokuwa kubwa ndio naona kama namsukuma mlevi vile .
Kutabasamu nadhani ni Pro Max maana Arusha napata tabu yani watu kutabasamu wanashangaa sana.
Ngumi nilishwahi jifunza ndondi pia nafundisha ndondi kwa begginers
Kazi iendelee
Hauko peke yako, 😂 mimi mpaka niliambiwa nawaringishia meno eti. Mimi nakenua jamani uwiii, siwezi kukusalimia bila kutabasamuKutabasamu nadhani ni Pro Max maana Arusha napata tabu yani watu kutabasamu wanashangaa sana.
Tafuta demu wa Kinyaturu uoe mkuu..Ajenda zangu mbili kubwa Ni kula na kunywa
Mbona mnyaturu?Tafuta demu wa Kinyaturu uoe mkuu..
Wewe dental formula yako si imenyooka nyeupe..turingishie tu sisi na meno yetu ya gold gold..Hauko peke yako, [emoji23] mimi mpaka niliambiwa nawaringishia meno eti. Mimi nakenua jamani uwiii, siwezi kukusalimia bila kutabasamu
Coz yupo huko Singida..Mbona mnyaturu?
Hata haijanyooka kihivyo 😂 basi tu waarusha hawakenuagi hovyo hovyo nahisi.Wewe dental formula yako si imenyooka nyeupe..turingishie tu sisi na meno yetu ya gold gold..
Matundu yapo mengi mkuu..ni tundu lipo unajua kulilengaKulenga shabaha....!
Yani ningekuwa wa kike huenda wangesema labda nina chekelea .Hauko peke yako, 😂 mimi mpaka niliambiwa nawaringishia meno eti. Mimi nakenua jamani uwiii, siwezi kukusalimia bila kutabasamu